Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

Kwani hiyo imekuwa primary /secondary school? Mapenzi ni sehemu ya maisha na umri ukifika ni sharti u-socialise, vinginevyo ni hatari kwa mtu mzima kuwa mpweke na inaweza kupelekea msongo wa mawazo. Hao ni watu wazima bhana..; vipi kwa wanandoa wanaosoma chuoni hapo pamoja? Na hata waliooa au kuolewa waliwezaje bila kutongozana kwanza? Au wanatingozana wakiwa watatu kama sheria inavyotaka? Au wenzetu wanaoa bila kutongoza, unabeba tu kama bidhaa kwenye supermarket? Hizi dini nyingine hizi. Ndio maana Seminary za hawa majamaa huwa wanaishia kupata mazero tu kila mwaka, maana wanaacha/wanashindwa kusimamia vitu vya msingi vilivyowaweka kazini wanabaki kutafuta umaarufu kwa mambo ya kishenxi shenxi tu.., mbadilike bwana..
Mkuu hilo povu sio LA nchi hii,kuwa makini na wasio julikana!
 
Mbona umegonga kwenye ukweli mtupu. Elimu ya dunia imewapita pembeni. Kuna Shehe mmoja alikuwa analalamika Et mke wake kazalishwa na mwanaume. Kusomesha wanawake wa kiislamu imekuwa ngumu. Wanaishia kuwaozesha angali wadogo. Mm km mkunga mwanaume ntaendelea kuwapima njia kwenye papuchi na kuwazalisha. Kwanza wanapenda kuzalishwa na wanaume
 
Dr. Wansegamila
Sexual starvation madhala yake ni mkubwa sana,
Vyuoni,wanafunzi wanakaa kati ya miaka 2 hadi 6,hata ukiwabana vipi,impact yake kwenye jamii kwa ujumla ni ndogo sana,ni kama tone kwenye bahari,wakitoka hapo,wakirudi mtaani,mambo yanaendelea kama kawaida,

Hizi sheria za kuzuia mahusiano ya mapenzi kwenye jamii,havijawai kuwa na matokeo chanya kwenye jamii,

Mfano,nchi nyingi za kiarabu,zina sheria kama hizi,lakini zina vitendo vya ubakaji wa kutisha,

Hapa bongo, upande wa Zenj, kuna utamaduni kama huu, ambao umetawaliwa sana,n a taratibu za dini,kwa nje,vijana wa kike wanajistili vzr kwa mavazi ya heshima,lakini ndani ya jamii,kuna unyanyasaji wa kijinsia balaa,ubakaji,ulawiti,

Huwezi kutawala sexual activities za watu kwa sheria,
Wangeweka sheria ya kutawala mavazi ya wanachuo,ingekuwa vzr sana,sio kuzuia uhusiano,hawa ni watu lazima sio watoto wa olevel
 
Chuo hiki ni chuo cha dini ila hukum waliotoa kwa hao wanafunzi ipo kinyume na mafundisho ya dini husika nadhani utashi binafsi kwa watoa hukum haukuzingatia matashi na hukum za dini husika

Uislam uko wazi endapo imedhibitika kuwa wahusika ni wazinifu basi wangepigwa fimbo 50 au 80 kuliko kuwafukuza katika masomo sababu kuwafukuza hakutoi funzo lolote kwa waliobaki hapo chuo na haitoi funzo ktk jamii yao..
 
Unajua kuna kitu kimoja watu hawaujui Uislamu...
Uislamu ni mgumu una sheria kadha wa kadha

Yakupasa ufahamu, Chuo kama chuo + Islam Sharia... hauruhusiwi kuwa karibu baina ya Mwanaume na Mwanamke wakiwa wawili tuu mpaka kuwe na mtu wa tatu....

No hand to hand contact kati Mwanaume na Mwanamke inaruhusiwa endapo ni Nduguye au Mwanandoa wako

Issue ya kutongoza huwezi kuepuka hayo mambo mawili.... Ambayo yameharamishwa..
Kwahiyo huwa wanabeba tu mtu na kwenda kumuoa kama unanunua ndizi sokoni vile..
 
Maneno “kitanda cha ndoa” hurejelea ngono kati ya mwanamume na mwanamke waliofunga ndoa kihalali. Mmoja wao akifanya ngono nje ya ndoa anafanya uzinzi na anaweza kuhukumiwa vikali na Mungu. Malaki 3:5.

Unawazungumziaje hawa watu wa karibu kabisa na Mungu
  • Suleiman alikuwa how many wives?
  • Ibrahim alipozaa na kijakazi wake baada ya Sara kutopata mtoto...
  • Mfalme Daudi naye tunasikia habari zake
 
Hv kumbe bado vpo vyuo vya hiv....?

May be kitakua kama cha veta ambapo vijana wanakua bado wadogo(from form IV) wanahitaji usimamizi wa karibu...

Otherwise wanazingua...
 
Kwani hiyo imekuwa primary /secondary school? Mapenzi ni sehemu ya maisha na umri ukifika ni sharti u-socialise, vinginevyo ni hatari kwa mtu mzima kuwa mpweke na inaweza kupelekea msongo wa mawazo. Hao ni watu wazima bhana..; vipi kwa wanandoa wanaosoma chuoni hapo pamoja? Na hata waliooa au kuolewa waliwezaje bila kutongozana kwanza? Au wanatingozana wakiwa watatu kama sheria inavyotaka? Au wenzetu wanaoa bila kutongoza, unabeba tu kama bidhaa kwenye supermarket? Hizi dini nyingine hizi. Ndio maana Seminary za hawa majamaa huwa wanaishia kupata mazero tu kila mwaka, maana wanaacha/wanashindwa kusimamia vitu vya msingi vilivyowaweka kazini wanabaki kutafuta umaarufu kwa mambo ya kishenxi shenxi tu.., mbadilike bwana..
Kama kitu hujui uliza kwanza. Inawezekana mshezi baba na mama yako waliokutana vichochoroni ukapatikana wewe nje ya ndoa. Ndio maana unaambiwa kila sehemu insheria zake ambazo hazitakiwi kuwa juu ya katiba ya nchi. Nenda kwa kakobe akakupige hela mana huko ndio unapopaweza.
 
Hicho Siyo chuo ni Shule waseme moja tuwaelewe. ET Hakuna mahusiano hata kwa level hiyo, sijapata kuona yani hata kukaa wawili shida.
 
Dr. Wansegamila Vyuo vingine viige huu utaratibu? Hapana! Sikubaliani na mfumo wa nidhamu unaoingilia uhuru wa kijinsia wa watu waliofikia accountable age. Ni kinyume cha katiba ya nchi.

Tusilipeleke Taifa kwenye zama za mawe ambako uasherati ni kosa linalohalalisha mhusika kukatwa kichwa hadharani kama ilivyo kule Saud Arabia. Dini zingine ni nyenzo za kusigina haki za binadamu na hazifai kwa sababu hiyo. Bodi ya Chuo hicho ijitazame upya haraka.
 
Kuwafukuza siyo sahihi wala sidhani kama ni upendo wa kiislamu. Pia, sidhani kama wewe hujawahi kuzini na visichana ujanani mwako! Hao watoto wanaitaji msaada na mafundisho ili wajirekebishe.
Upo sahihi Sana, elimu itolewe tu Siyo kufanya Ndio sheria, umri wao umeshafika 18 na kwa mujibu WA nchi yetu ni MTU mzima Ndio mana ruksa hata kubeba mimba mavyuoni. Hicho cha kipekee.
 
Back
Top Bottom