Wanafunzi 4 Wachomwa Moto Uchi Nigeria (Inatisha)

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
121002181736_nigeria_college_304x171_s_nocredit.jpg
Chuo cha wanafunzi Port Harcourt


Chuo kimoja kikuu kimefungwa nchini Nigeria baada ya ghasia kuzuka kuhusiana na tukio la kuuawa kwa wanafunzi wanne, waliodaiwa kuiba komputa na simu za mkononi.


Wanafunzi wanasema kuwa wanne hao waliuawa baada ya kudhaniwa kuwa wezi kutoka katika kijiji cha Aluu.
Chuo kikuu cha Port Harcourt (Uniport) kiliwaamuru wanafunzi kwenda nyumbani,baada ya maandamano yaliyokuwa yanafanyika kukumbwa na ghasia huku Nyumba na maduka zikichomwa.
Waandishi wa habari wanasema kuwa polisi wa kupambana na ghasia pamoja na wanajeshi, wameenda katika chuo hicho, ambacho maafisa wakuu wanasema kitasalia kufungwa hadi hali itakapotulia.

the evil killing of students in port-harcourt,nigeria - YouTube

Source BBC
 
Thirteen people from the Nigerian state of Omuokere Aluu have been arrested for the murders of four Uniport (University of Port Harcourt) students.


The male victims, named as Ugonna, Ilyod, Tekana and Chidiaka, were stripped naked, severely beaten to death for allegedly stealing phones and laptops


The killed students (all in their early 20's) were brutally beaten until they all stopped breathing.


According to local reports, the students were accused of being members of a gang of armed robbers. They were hunted down by vigilantes from the village who accused the police of doing nothing.


click here for pictures and read more

 
Back
Top Bottom