watambi
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 327
- 254
Bahati mbaya mara tu Lowasa alipojiunga CHADEMA, chama hiki kiligawanyika pande mbili - CHADEMA- Asilia na CHADEMA- Lowasa. Kile cha Lowasa kiko mikoa ya Arusha na Kilimanjaro tu. Kile asilia kimeendelea katika mikoa mingine kama ilivyokuwa awali. Katika majimbo ya mikoa ya CHADEMA-Asilia kura za uraisi walimpigia zaidi Magufuli lakini kura za ubunge na udiwani waliwapigia zaidi wana CHADEMA wenzao.
Hii ndiyo imetoa tofauti inayolalamikiwa na akina Kubenea, Mbatia & Co. Mambo haya wameyasababisha wenyewe na wasilaamu mwingine.
Mkuu up sahihi kabisa me pia CDM asili na nilifanya hivyo