Wanachokosea wanaume wakati wa kutongoza

Wanachokosea wanaume wakati wa kutongoza

Mimi nina Tecno na nina Range Rover E Vogue Sport. Kazi yangu hata Meneja wa Kanda wa Benki hanifikii hata robo
 
Write your reply...mlolongo mrefu utasema procedure za kuandika barua ya kuomba kibali cha kwenda nje kupasuliwa tezi dume


Mimi na kigari changu cha mkopo na pesa hapo nachinja nyama kila siku
 
Nafahamu hivyo as na mie ni mwanamke pia naelewa zaidi sababu nazungukwa nao kwenye mazingira mengi,achia taaluma juu ya saikolojia, hii ni practically
Kumbe wewe ni mwanamke...ngoja nikutongoze kwa kupitia somo lako.
 
Nlichogundua huyu ni mwanamke alikua approached na jamaa ye akawa analeta sitaki nataka sa jmaa kuona hivyo akampotezea sa maumivu yake ndo kaleta uzi humu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Wale Wasichana Ambao Ukiwatongoza Anakukatalia ...Halafu Akikuona Upo Na Msichana Mwingine Anakasirika ..............Hili Tatizo Kitaalam Linaitwaje.....??
 
Hivi Wale Wasichana Ambao Ukiwatongoza Anakukatalia ...Halafu Akikuona Upo Na Msichana Mwingine Anakasirika ..............Hili Tatizo Kitaalam Linaitwaje.....??
Hili tatizo sijuiii ni nini kuna mmoja alinizengua sasa kuna siku ameona,níko karibu na manzi mmoja aiseee sio kwa msg zilee.

Akaja akashika simu yangu bado maneno ila uki mwambia ishu kuhusu yeye hatakii.

Nikaona huu ujingaa potezea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwingine yuko ananipotezea ila huwa nakakubali maana ni bado hajachanga mka ni mtu wa dini. Ikitokea nime safiri atani text mpaka basii.

Atapiga na simu.

Ila ukirudii haongeiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom