Wanachokisema wazungu kuhusu Tanzania...

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,511
11,271
Wakuu, hii nimeiona kwenye Face book kwenye Page ya Mtalii mmoja ambaye yuko nchini kwetu kwa matembezi:

So and so is a bit baffled by the priorities in this country; though there is no electricity the newspapers are primarily preoccupied with witchcraft, sorcerers and healers...

Majadiliano yakaendelea:

A different kind of "power"?

Ah, actually visiting your wall clears it up. Hope you're doing great in Tanzania!

Well, I see your point...!!! But, I for one think it's great with focus on witchcraft - it has a strong hold of silence, fear and control for many people. Find the report on 'trafficking human body parts in SA and Mozambique' (search and you will find:). There is even a facebook group called Action against Trafficking Human Body Parts). Scarry reading, and it is likely that similar stuff goes on in Tanzania! (Sorry, got all serious here)

no need to apologise - it is serious. On similar, though different note, women in Ghana are sometimes accused of being witches (often by other wives in the household) and are either killed or banished from their villages. Scary, ...medieval stuff going on...

Baada ya muda mwanzisha mada akaja na hii:

I have not come across anything about body parts. The stories here are about; a minister who claims that some agencies plan to kill him using 'supernatural powers'; four dead 'in incident linked to witchcraft' (two of whom were killed by the police); a healer claiming he can cure AIDS attracting huge crowds of people. Etc. The newspaper wrote about the power cut today, by the way....

still well and with all body parts attached...but I witnessed a lynching today - the guy only survived because the police arrived...

Mwisho wa kunukuu..

Hivi wakuu wenye taarifa, huyu waziri aliyelalamika kuuawa ni kweli alitaja ushirikina kama njia anayohisi kuwa itatumika kumuua? Au huyu mzungu anajaribu tu kuponda Intellect yetu hapa?
 
ni kweli jamaa alisema kuwa wale wauaji wamepewa kinga na mganga wa kienyeji.. Soma ile story yake /barua /maelezo yake kaeleza kila kitu fresh tu.
Hao wazungu ni miyeyusho kwanza warudi kwao huko wakafanye kazi tuje tuwaombe neti za mbu na misaada, si Mramba walinunua ndege kabisa kwa ajili hiyo.
 
..........

Hivi wakuu wenye taarifa, huyu waziri aliyelalamika kuuawa ni kweli alitaja ushirikina kama njia anayohisi kuwa itatumika kumuua? Au huyu mzungu anajaribu tu kuponda Intellect yetu hapa?

Nadhani anasema kuhusu Mwakyembe ....yaliaandikwa magazetini hivi karibuni
 
Hawa watu kwa kweli hawawezi kutusema kwa mambo mazuri hata kidogo!
 
Hawa watu kwa kweli hawawezi kutusema kwa mambo mazuri hata kidogo!

Hapana mzee,naomba kutofautiana na wewe na hapo...wazungu wengi huwa wanasema mazuri pale wanapoona...lakini wanasema pia mabaya wanapoona,hapo ndipo tofauti inapokuja na sisi,wengi wetu tunapenda kusikia mazuri tu,mtu akisema mabaya hata kwa nia njema anageuka enemy number 1 and soon should be eliminated by any means
 
Haya mambo ndio wazungu wananyapenda sana. na watakusikiliza kwa makini ukiwapa stori za aina hii, uchawi, njaa, magonjwa, udini nk.
Hawataki kabisa habari za maendeleo na ukiwa intelligent kuliko wao hawatakupenda. Hawapendi maendeleo yetu kabisa.

Kuna partner shule moja niliitembeleaga huko uzunguni nikakuta, watoto wakaambiwa wachore picha how they imagine africa, wakachora bara la africa likiwa na njaa, magonjwa na vita kila mahali, hamna zuri hata moja walilioonyesha, hata mlima Kilimanjaro na wanyama hawakuweka, u can imagine jinsi wanavyotuenjoy.
 
Haya mambo ndio wazungu wananyapenda sana. na watakusikiliza kwa makini ukiwapa stori za aina hii, uchawi, njaa, magonjwa, udini nk.
Hawataki kabisa habari za maendeleo na ukiwa intelligent kuliko wao hawatakupenda. Hawapendi maendeleo yetu kabisa.

Kuna partner shule moja niliitembeleaga huko uzunguni nikakuta, watoto wakaambiwa wachore picha how they imagine africa, wakachora bara la africa likiwa na njaa, magonjwa na vita kila mahali, hamna zuri hata moja walilioonyesha, hata mlima Kilimanjaro na wanyama hawakuweka, u can imagine jinsi wanavyotuenjoy.

Mbona hamuachi kulia kulia nyinyi??kama wao wanasema tu na hayo wanyosema hayapo ila kuna mazuri tu Africa tatizo liko wapi?ishu ni kwamba mengi wanayosema (najua siyo yote) ni kweli kuhus Africa wacheni kuwa wanafiki.
 
Wakuu, hii nimeiona kwenye Face book kwenye Page ya Mtalii mmoja ambaye yuko nchini kwetu kwa matembezi:



Majadiliano yakaendelea:









Baada ya muda mwanzisha mada akaja na hii:





Mwisho wa kunukuu..

Hivi wakuu wenye taarifa, huyu waziri aliyelalamika kuuawa ni kweli alitaja ushirikina kama njia anayohisi kuwa itatumika kumuua? Au huyu mzungu anajaribu tu kuponda Intellect yetu hapa?

hehe.. wazungu bana.. ila ana point kwa siku hizi za karibuni magazeti na vyombo vya habari vinaacha kureport issue za maana. wanaongelea ushirikina na utapeli unaofanyika loliondo
 
Wakuu, hii nimeiona kwenye Face book kwenye Page ya Mtalii mmoja ambaye yuko nchini kwetu kwa matembezi:



Majadiliano yakaendelea:









Baada ya muda mwanzisha mada akaja na hii:





Mwisho wa kunukuu..

Hivi wakuu wenye taarifa, huyu waziri aliyelalamika kuuawa ni kweli alitaja ushirikina kama njia anayohisi kuwa itatumika kumuua? Au huyu mzungu anajaribu tu kuponda Intellect yetu hapa?

yah,alisema,soma mtanzania
 
Haya mambo ndio wazungu wananyapenda sana. na watakusikiliza kwa makini ukiwapa stori za aina hii, uchawi, njaa, magonjwa, udini nk.
Hawataki kabisa habari za maendeleo na ukiwa intelligent kuliko wao hawatakupenda. Hawapendi maendeleo yetu kabisa.

Kuna partner shule moja niliitembeleaga huko uzunguni nikakuta, watoto wakaambiwa wachore picha how they imagine africa, wakachora bara la africa likiwa na njaa, magonjwa na vita kila mahali, hamna zuri hata moja walilioonyesha, hata mlima Kilimanjaro na wanyama hawakuweka, u can imagine jinsi wanavyotuenjoy.
soma signature yangu utaelewa

in all african country they show nature,trees and animals because they are the only good ,Healthy and looking things. HUMANS have no value.neglected by corrupt states.:painkiller::target:
 
watoto wakaambiwa wachore picha how they imagine africa, wakachora bara la africa likiwa na njaa, magonjwa na vita .

mmmmh! Watoto walikuwa na akili hao. Hadi kuweza kuonesha njaa, magonjwa na vita kwenye ramani.
 
Wakuu, hii nimeiona kwenye Face book kwenye Page ya Mtalii mmoja ambaye yuko nchini kwetu kwa matembezi:



Majadiliano yakaendelea:









Baada ya muda mwanzisha mada akaja na hii:





Mwisho wa kunukuu..

Hivi wakuu wenye taarifa, huyu waziri aliyelalamika kuuawa ni kweli alitaja ushirikina kama njia anayohisi kuwa itatumika kumuua? Au huyu mzungu anajaribu tu kuponda Intellect yetu hapa?

Watanzania wengi wanaamini uchawi, hii ni kwasababu ya elimu yetu ndogo. Haswa serikali ya nne, ikiwa ikulu ilikuwa ikiamini uchawi, JE mtu wa kawaida. Maprofessor , wana sayansi wa Tanzania wanaamini uchawi Ndiyo maana Tanzania iko nyuma sana kwa imani za kijinga na zisizo na ukweli wowote. Tanzania tunaishi gizani kwa imani zetu. Binaadamu maisha yetu yanaupungufu, Wakati mwingine tunafuraha, saa nyingine majonzi, uzima na Marathi ni part ya maisha ya binaadamu. Na mwisho lazima tufe. Tukifa, tumelogwa, tukiuguwa tumelogwa, tukifukuzwa kazi tumelogwa, ujinga gani huo? Sehemu nyingi za Tanzania zenye imani za uchawi maendeleo yao ni duni.
 
Back
Top Bottom