Wanachama wote wa chama cha wanaume piteni HAPA

Wanachama wote wa chama cha wanaume piteni HAPA

Wakati jamaa ana mke nadhani alikua anafatwa kama maua na nyuki, sahivi jimbo wazi utashangaa hata wa kumsalimia hakuna.....
 
Kuna Mzee mmoja Nilikuwa Napiga nae story za hapa na pale,,basi nikamuuliza Inakuwaje ukute mchungaji anakutafunia mke wako??? Akasema lazima na yeye amtight amtafune ndo heshima itarudi.Kwa nini awaruke wote aje anitafunie mimi??
 
Wakati jamaa ana mke nadhani alikua anafatwa kama maua na nyuki, sahivi jimbo wazi utashangaa hata wa kumsalimia hakuna.....
Jimbo wazi ila nasikia nae katimba Mwanza sasa sijui nn hik
 
Kuna Mzee mmoja Nilikuwa Napiga nae story za hapa na pale,,basi nikamuuliza Inakuwaje ukute mchungaji anakutafunia mke wako??? Akasema lazima na yeye amtight amtafune ndo heshima itarudi.Kwa nini awaruke wote aje anitafunie mimi??
Unataka kusemaje mkuu..
 
Inaaaachoooooma kama pasiiiii. Usipokuwa makini unaweza kutokwa na povuuuu. Avumilie tuuuuu hakuna namna
Jamaa nae atafute kisu kikali kubalance hii movie
 
Atafte pesaaa tu... Wanawake watamliza kila siku
 
Raha ya mahusiano ni upendo, ikiwa upendo ulitoweka kwa mwenzi wake wala asiumize kichwa kwa mawazo atafute mwingine atakayemfaa
 
When it's time to move on, do it. Otherwise you end up being pulled in a direction you were never meant to go in, stuck having to backtrack.
 
Back
Top Bottom