Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

hao wasaka madaraka kama mkuu wa hicho chama wameona hawata pitishwa kugombea CHADEMA.
 
mkuu kwema! ile kauli yako kuwa rais hawezi toka kaskazini vip mzee Edo mnamtosa?
Rais wetu hawezi kuongea hiyo kauli JK ni Rais wa watu.

Ili kukata mzizi wa fitna tuwekee ushahidi akiongea lini na wapi.

Kamanda kwa hiyo wewe upo tayari kumpigia kura Lowassa na kumtosa Dr.Slaa.
 
Sasa huko mbozi hao waliojiunga na chama cha waha wasaliti watajifunzia wapi kuvua migebuka? Ama mtawasafirisha hadi Kibirizi au Kazuramimba??

Mmekalia ukabila umangimeza chuki uchawi wizi nk badilikeni.
 
ACT kina viongozi wenye utoto kupitiliza,wanachonishangaza hawatangazi pale wanaccm wanapojiunga nao,ila akitokea mtu mmoja wa CHADEMA akajiunga nao basi watatangaza kila sehemu.Hiki chama lengo la kuanzishwa kwake linaonekana dhahiri ni kushindana na CHADEMA tu,hawana habari na CCM kabisa.Chama cha ajabu kabisa cha siasa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe.Na watu wanaojiunga na hiki chama kisicho na malengo yoyote ya kupambana na chama tawala ndo hawajielewi kabisa.

Hawawezi kutangaza wana-CCM wakijiunga nao, hata hivyo si lengo la ACT kuwa na wanachama wanaotoka CCM!

Zitto analelewa na viongozi wa CCM na ndio maana hata kule kigoma wameridhia Peter Serukamba abadilishane nae jimbo. Katika mazingira ya kawaida isingekuwa rahisi CCM waruhusu mbunge wao abadilishane jimbo na mgombea wa upinzani, never!

Watanzania tunapigwa changa la macho tu!
 
Haaaa,haaaa hiyo watasahau wao waendelee kutwangana mangumi kwenye urais hadi Jana walikuwa 35
Chadema kuna mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hamna mwingine tena na ukijaribu kumpiga unafukuzwa kama paka, halafu mnajiita chama cha Demokrasia.
 
Chadema kuna mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hamna mwingine tena na ukijaribu kumpiga unafukuzwa kama paka, halafu mnajiita chama cha Demokrasia.

Majaaliwa ya ccm,kusambaratika au kunusurika yapo mikononi mwa lowasa.
 
Chadema kuna mgombea urais wa kudumu Dr.Slaa hamna mwingine tena na ukijaribu kumpiga unafukuzwa kama paka, halafu mnajiita chama cha Demokrasia.
Chadema inadhamira ya kweli ya kukutoa wewe utumwani. Chadema iko determined kuigeuza nchi hii kuwa ya maziwa na asali. Na kwakuwa tumetubu kwa Mungu kwa kosa kubwa la kumweka Kikwete kama wana Israel walipomlazimisha Mungu awape Sauli kuwa mfalme, wana wa Israel walipata misukosuko wakapigwa mapigo hadi walipotubu na kumpata mfalme Daudi ndivyo na sisi watanzania tumetubu kwa Mungu kwa kukipa chama cha majizi, waongo,wauaji na makatili. Mungu ameridhia kutupa 'Daudi' wetu. UKAWA. Ndio maana tunasema UKAWA TUMAINI LETU
 
Hawawezi kutangaza wana-CCM wakijiunga nao, hata hivyo si lengo la ACT kuwa na wanachama wanaotoka CCM!

Zitto analelewa na viongozi wa CCM na ndio maana hata kule kigoma wameridhia Peter Serukamba abadilishane nae jimbo. Katika mazingira ya kawaida isingekuwa rahisi CCM waruhusu mbunge wao abadilishane jimbo na mgombea wa upinzani, never!

Watanzania tunapigwa changa la macho tu!

Mkuu Bigurube,mtanzania wa leo siyo wa jana tushaelewa kuwa act ni ccm 100%.
 
Chadema inadhamira ya kweli ya kukutoa wewe utumwani. Chadema iko determined kuigeuza nchi hii kuwa ya maziwa na asali. Na kwakuwa tumetubu kwa Mungu kwa kosa kubwa la kumweka Kikwete kama wana Israel walipomlazimisha Mungu awape Sauli kuwa mfalme, wana wa Israel walipata misukosuko wakapigwa mapigo hadi walipotubu na kumpata mfalme Daudi ndivyo na sisi watanzania tumetubu kwa Mungu kwa kukipa chama cha majizi, waongo,wauaji na makatili. Mungu ameridhia kutupa 'Daudi' wetu. UKAWA. Ndio maana tunasema UKAWA TUMAINI LETU
Kamanda kulikoni tena unaanza mahubiri umekuwa Gwajima.
 
Mkuu inawezekana wameamua kuondoka chama cha wachaga.
Wanaondokaje kwenye chama cha wachaga wakati nao ni wachagga,kwani hujui kuwa Mbozi nayo ni kanda ya kasikazini na niwilaya moja wapo kati ya zile za mkoa wa Kilimanjaro?.
 
Mweru Mzeru

Kipigo mlichokipata serekali za mitaa ndicho kinacho wafanya muweweseke na mzazi wenu CCM,hizo zilikuwa ni mvua za rasharasha bado mvua za masika zinakuja mtakuja kumlaani mzazi wenu CCM.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna chama kitakosa wafuasi hata TLP kina wafuasi
 
Hakuna Wapumbavu Wa Aina Hiyo Mbozi Hao Ni Wanaccm Walioandaliwa Kuichafua Chadema Kwa Kujifanya Wanarudisha Kadi Na Kadi Hizo Wamepewa Na Mwampamba, Mwampamba Alipokuwa Anafukuzwa Chadema Alitoloka Na Kad Nyingi Sana Ambayo Zimekuwa Zikitumika Kwenye Mikutano Yao Na Kujifanya Wamevuna Wanachama kutoka chadema na sasa wanaitumia Ccm B, Nani Asiejua, Chadema Sasa Hivi Iko Imala Kuliko Wakati Mwingine Mwingine Wowote Sasa Lazima Ujiulize, Huyu Anaetoka Sasa Hivi Chadema Alijiunga Lini! Ambapo Chadema Ilikuwa Imala Kuliko Sasa Hivi? Je? Huyu Mtu Alijiunga Chadema Kwa Lengo Gani? Je? Chadema Ipande, Au Ishuke! Kwa Mwenye Upeo Wa Kuzaliwa Lazima Ajiulize Maswali Kama Haya Hatuendi Kichwakichwa Mwanangu.
 
Back
Top Bottom