wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
act vibaraka wa ccm ! lengo lao ni kuwadumaza ukawa.
Huyu hapa kamalizia.Ungemalizia kuwa wameamua kujiunga na chama cha waha waislamu wa Gungu!
ndugu msingi wa chama chenu kutuhumiwa kuwa ni tawi la ccm umejikita hapo.Yes...kwasababu chadema ni chama kandamizi
Huyu hapa kamalizia.
By Ulukolokwitanga:
Sasa huko mbozi hao waliojiunga na chama cha waha wasaliti watajifunzia wapi kuvua migebuka? Ama mtawasafirisha hadi Kibirizi au Kazuramimba??
Hapo uislam haujatajwa!Huyu hapa kamalizia.
By Ulukolokwitanga:
Sasa huko mbozi hao waliojiunga na chama cha waha wasaliti watajifunzia wapi kuvua migebuka? Ama mtawasafirisha hadi Kibirizi au Kazuramimba??
Sasa huko mbozi hao waliojiunga na chama cha waha wasaliti watajifunzia wapi kuvua migebuka? Ama mtawasafirisha hadi Kibirizi au Kazuramimba??
Mi nipo hapa mbozi mashariki waliojiunga ni wanachama wa cdm pekee bado tunatafta na waccm na vyama vingine huu ndo mwanzo
Walio jiunga ni wana cdm tu, hakuna wa vyama vingine?
ACT kina viongozi wenye utoto kupitiliza,wanachonishangaza hawatangazi pale wanaccm wanapojiunga nao,ila akitokea mtu mmoja wa CHADEMA akajiunga nao basi watatangaza kila sehemu.Hiki chama lengo la kuanzishwa kwake linaonekana dhahiri ni kushindana na CHADEMA tu,hawana habari na CCM kabisa.Chama cha ajabu kabisa cha siasa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe.Na watu wanaojiunga na hiki chama kisicho na malengo yoyote ya kupambana na chama tawala ndo hawajielewi kabisa.
Ccm b kazi yao ni kuiuwa cdm,ila wameshastukiwa na watanzania kwani hila zao zimeshindwa na wana mbwelambwela tu,wakati cdm inajiandaa kutwaa nchi kwa kushirikiana na cuf na nccr mageuzi na nld.ACT kina viongozi wenye utoto kupitiliza,wanachonishangaza hawatangazi pale wanaccm wanapojiunga nao,ila akitokea mtu mmoja wa CHADEMA akajiunga nao basi watatangaza kila sehemu.Hiki chama lengo la kuanzishwa kwake linaonekana dhahiri ni kushindana na CHADEMA tu,hawana habari na CCM kabisa.Chama cha ajabu kabisa cha siasa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe.Na watu wanaojiunga na hiki chama kisicho na malengo yoyote ya kupambana na chama tawala ndo hawajielewi kabisa.
Hatma ya CHADEMA iko mikononi mwa UKAWA.
Mwl. Kaijage kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni
Hatma ya CHADEMA iko mikononi mwa UKAWA.
Lakuvunda halina ubani chadema ilishavunda siku nyingi sana.
Yes...kwasababu chadema ni chama kandamizi
Hao wana tamaa ya madaraka. Wajue nje ya Chadema hakuna chama cha upinzani cha kushinda mbozi.
Mi nadhani ni wazi kuwa ACT wamekuja kwa ajili ya CCM.
All in all. Mbozi Chadema itashinda kwa kishindo.
Mkuu inawezekana wameamua kuondoka chama cha wachaga.
Mkuu inawezekana wameamua kuondoka chama cha wachaga.
Sasa huko mbozi hao waliojiunga na chama cha waha wasaliti watajifunzia wapi kuvua migebuka? Ama mtawasafirisha hadi Kibirizi au Kazuramimba??