Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

Wanachama wa CHADEMA Mbozi wajiunga ACT -Wazalendo

ACT kina viongozi wenye utoto kupitiliza,wanachonishangaza hawatangazi pale wanaccm wanapojiunga nao,ila akitokea mtu mmoja wa CHADEMA akajiunga nao basi watatangaza kila sehemu.Hiki chama lengo la kuanzishwa kwake linaonekana dhahiri ni kushindana na CHADEMA tu,hawana habari na CCM kabisa.Chama cha ajabu kabisa cha siasa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe.Na watu wanaojiunga na hiki chama kisicho na malengo yoyote ya kupambana na chama tawala ndo hawajielewi kabisa.

Kabisa mkuu
 
Mweru Mzeru

Ni wanachama maarufu wa CHADEMA lakini pamoja na umaarufu wao hakuna hata mmoja aliyeandikwa jina,si ajabu ukakuta ni wavuta bangi na wanywa viroba kama mwenyekiti wao waliyempindua,ndio maana wanaona aibu hata kutaja majina yao.
 
Last edited by a moderator:
ACT kina viongozi wenye utoto kupitiliza,wanachonishangaza hawatangazi pale wanaccm wanapojiunga nao,ila akitokea mtu mmoja wa CHADEMA akajiunga nao basi watatangaza kila sehemu.Hiki chama lengo la kuanzishwa kwake linaonekana dhahiri ni kushindana na CHADEMA tu,hawana habari na CCM kabisa.Chama cha ajabu kabisa cha siasa kuwahi kutokea tangu dunia iumbwe.Na watu wanaojiunga na hiki chama kisicho na malengo yoyote ya kupambana na chama tawala ndo hawajielewi kabisa.
"Adui wa kwanza wa Chadema ni ACT na ZZK "(Mnyika, 2015). "To every action there is equal and oposite reaction " (Newtons law of motion)
 
Mwanachama ni mwanachama tu haijalishi ni mlevi wa kiasi gani,kura yake ndo ongezeko la wanachama,nyie subiri wanachama wa kuvaa suti wasio wanywa viroba
 
Kuna posti humu yenye lengo ambalo bado sijaelewa.

Jana mjini Vwawa mbozi mbeya Mtia nia Ubunge wa Chadema jimbo la Mbozi Mashariki Fanuel Mkisi aliwapokea wanachama wapya watano wakiwamo wawili ambao walikuwa wagombea wa nafasi ya Katibu na Mweka-hazina Mbozi katika chama cha ACT.

Wote wamepewa kadi za CHADEMA na mapambano yanaendele katika hii ngome mpya yenye nguvu ya Chadema ya Nyanda za juu Kusini.

Tunaomba radhi kwa kuchelewa kukanusha kwani hatukuona mapema.

Mdude CHADEMA.
 
mods mpige ban mtoa mada,habari hii imeshakanushwa na kamanda mdude Chadema
 
Msalani kasema CHADEMA hatima yake ni UKAWA hiyo sahihi na si CDM tu upinzani una mtego huo tu hivi vi-act nilishasema vinaitafuna CCM kwa kusingizia vinaitafuna UKAWA hawa act WANAUWEZO WAKUPATA WANACHAMA WENGI MAENEO YA PWANI NA YENYE USWAHILI MWINGI AMBAKO KIMSINGI NI CCM SI BARA
 
Nasikia CCM wanataka hela zao walizompa zitto ili aiuwe CHADEMA ndani ya mwezi 1 ndo yalikuwa mkataba wao sasa Zitto anaelekea kushindwa kufanikisha hilo au kama hawezi kurudisha hizo hela basi uhai wake halali yao hizi habari ni kweli au ?????????
 
Kuna posti humu yenye lengo ambalo bado sijaelewa.

Jana mjini Vwawa mbozi mbeya Mtia nia Ubunge wa Chadema jimbo la Mbozi Mashariki Fanuel Mkisi aliwapokea wanachama wapya watano wakiwamo wawili ambao walikuwa wagombea wa nafasi ya Katibu na Mweka-hazina Mbozi katika chama cha ACT.

Wote wamepewa kadi za CHADEMA na mapambano yanaendele katika hii ngome mpya yenye nguvu ya Chadema ya Nyanda za juu Kusini.

Tunaomba radhi kwa kuchelewa kukanusha kwani hatukuona mapema.

Mdude CHADEMA.

Takataka Gani Hii Tena??
 
Takataka Gani Hii Tena??

Tunaapenda kukanusha ujinga na ujinga aliopost tahila wetu wa vwawa sinsala mdude chadomo kuwa kuna wanachma wetu wa ACT mbozi wamejiunga chadema habari hizi ni uzushi na uongo chama chetu hakina mataila wanao weza kujiunga chama cha wajinga kama hicho na hakuna mwanachama ambae amewahi kugombea nafasi ya ukatibu katika chama chetu hii nafasi alipita bika kupigwa katibu wetu wa wilaya RAHIM NZUNDA sasa huyo chizi alieandika huo uzushi ni kwa utashi wake mwenyeww labda aliwapokea mataila kama mpoma au mwarabu ila ukweli ni kuwa tayari madiwani wawili wa cdm wameshachukua kadi za ACT na kwa taarifa tulizo pata wagombea wawili wa nafasi ya ubunge cdm wameshajiunga ACT
 
Back
Top Bottom