Mweru Mzeru
Member
- Jun 12, 2015
- 9
- 0
Kwa habari zilizovuja ni kuwa wanachama 20 waliokuwa maarufu CDM jimbo la mbozi mashariki wameamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo.
Kwa habari zilizothibitishwa na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho alidai kuwa katibu wa chama hicho wilayani mbozi mh. Rahim Nzunda ndie aliewapokea wanachama hao na jambo hili limefanyika kwa siri na umakini mkubwa ili siku ya jumamosi tar 20 pindi ajapo mh ZITO KABWE AWAKABIDHI KADI ZAO RASMI
TULIPOJARIBU KUMTAFUTA KATIBU WA WILAYA MH RAHIM NZUNDA SIMU YAKE ILIITA KWA MUDA MREFU BILA KUPOKELEWA NA ILIPOKELEWA ALIPOKEA MWANAMKE NA ALIDAI MH RAHIM NZUNDA YUPO KATIKA KIKAO KIZITO NA WANACHAMA WAPYA HIVYO APIGIWE MUDA MWINGINE!
Kwa habari zilizothibitishwa na mmoja kati ya viongozi wa chama hicho alidai kuwa katibu wa chama hicho wilayani mbozi mh. Rahim Nzunda ndie aliewapokea wanachama hao na jambo hili limefanyika kwa siri na umakini mkubwa ili siku ya jumamosi tar 20 pindi ajapo mh ZITO KABWE AWAKABIDHI KADI ZAO RASMI
TULIPOJARIBU KUMTAFUTA KATIBU WA WILAYA MH RAHIM NZUNDA SIMU YAKE ILIITA KWA MUDA MREFU BILA KUPOKELEWA NA ILIPOKELEWA ALIPOKEA MWANAMKE NA ALIDAI MH RAHIM NZUNDA YUPO KATIKA KIKAO KIZITO NA WANACHAMA WAPYA HIVYO APIGIWE MUDA MWINGINE!