GE2025 Wanachama wa CCM hawana uelewa na mabadiliko

GE2025 Wanachama wa CCM hawana uelewa na mabadiliko

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

MTAZANIA

Member
Joined
May 28, 2025
Posts
28
Reaction score
47
CCM inaweza kuwa inafanya “legitimization” ya maamuzi ambayo tayari yalishachukuliwa bila kufuata Katiba kikamilifu – sasa wanajaribu kusahihisha kiufundi ili yasiwe kinyume cha taratibu.

Pili Kwa chama ambacho ina wanachama wengi vijijini kikao Cha mtandao siyo inclusive kwani bado tuna miundo mbinu mbovu sana ,

Tatu kikao Cha mtandao inatumika kama njia ya kudhibiti mjadala kwani siyo rahisi mwanachama kutoa hoja kutokana na mazingira ya kubanwa na ukilinganisha wananchama hawana uelewa kuhusu mabadiliko ya katiba ,
 
CCM inaweza kuwa inafanya “legitimization” ya maamuzi ambayo tayari yalishachukuliwa bila kufuata Katiba kikamilifu – sasa wanajaribu kusahihisha kiufundi ili yasiwe kinyume cha taratibu.

Pili Kwa chama ambacho ina wanachama wengi vijijini kikao Cha mtandao siyo inclusive kwani bado tuna miundo mbinu mbovu sana ,

Tatu kikao Cha mtandao inatumika kama njia ya kudhibiti mjadala kwani siyo rahisi mwanachama kutoa hoja kutokana na mazingira ya kubanwa na ukilinganisha wananchama hawana uelewa kuhus
u mabadiliko ya katiba ,
 

Attachments

  • VID-20250725-WA0061.mp4
    5.4 MB
CCM inapitia wakati mgumu kuliko hata Tundu Lissu aliyepo mahabusu, Chama kimepigwa na dhoruba, tena dhoruba kutoka ndani mwake, mawimbi yanakiyumbisha na hii ni wazi nahodha amekosa udhibiti........ngoja tuone watakuja na maamuzi gani.
 
CCM inapitia wakati mgumu kuliko hata Tundu Lissu aliyepo mahabusu, Chama kimepigwa na dhoruba, tena dhoruba kutoka ndani mwake, mawimbi yanakiyumbisha na hii ni wazi nahodha amekosa udhibiti........ngoja tuone watakuja na maamuzi gani.
Wanafikiri Mungu hayupo na wanafikiri hizo ni story tu za vitabu vitakatifu tu kwamba Farao alipigwa mapigo saba na Mwenyezi Mungu.
Sasa wacha wameshapigwa na hapa hawachomoki.

Utabadilishaje katiba miezi miwili kabla ya uchaguzi mkuu?
 
CCM inapitia wakati mgumu kuliko hata Tundu Lissu aliyepo mahabusu, Chama kimepigwa na dhoruba, tena dhoruba kutoka ndani mwake, mawimbi yanakiyumbisha na hii ni wazi nahodha amekosa udhibiti........ngoja tuone watakuja na maamuzi gani.
Chama kinahitaji maombi tuzidi kuomba
 
Back
Top Bottom