Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamezuiliwa kuingia katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, ambapo kesi ya Mwenyekiti wao inaendelea kusikilizwa, kwa madai kwamba ukumbi wa mahakama ni mdogo.
Wanachama hao wamelalamika kwamba kitendo hicho kimewanyima fursa ya kushuhudia mwenendo wa kesi muhimu kwa chama chao, wakieleza kuwa nafasi nyingi ndani ya ukumbi zimejazwa na askari polisi badala ya wananchi.
Wanachama hao wamelalamika kwamba kitendo hicho kimewanyima fursa ya kushuhudia mwenendo wa kesi muhimu kwa chama chao, wakieleza kuwa nafasi nyingi ndani ya ukumbi zimejazwa na askari polisi badala ya wananchi.