GE2025 Wanachama 7 wa CHADEMA wajiunga CCM

GE2025 Wanachama 7 wa CHADEMA wajiunga CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Kwahiyo wameona kampeni ya No reforms no Election kwao ni ngumu? Au ndio wale CCM wanavalishwa nguo za CHADEMA kionesha umma kutulisha tango pori?!

Yaani CHADEMA avumilie kote huko aje kuhama leo? Msitufanye watu wajinga banašŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£

=========

Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewapokea wanachama wapya 7 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao wameahidi kuungana na wanachama wa CCM Kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Aidha Katibu Mkuu Suzan Kunambi Amewataka viongozi wa UWT Wilaya ya Iringa Mjini kudumisha umoja na Mshikamano ili kufanikisha ushindi huo wa Chama Cha Mapinduzi .

Screenshot 2025-09-18 172529.png
Screenshot 2025-09-18 172921.png
 
Kwahiyo wameona kampeni ya No reforms no Election kwao ni ngumu? Au ndio wale CCM wanavalishwa nguo za CHADEMA kionesha umma kutulisha tango pori?!

Yaani CHADEMA avumilie kote huko aje kuhama leo? Msitufanye watu wajinga banašŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£

=========

Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewapokea wanachama wapya 7 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao wameahidi kuungana na wanachama wa CCM Kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Aidha Katibu Mkuu Suzan Kunambi Amewataka viongozi wa UWT Wilaya ya Iringa Mjini kudumisha umoja na Mshikamano ili kufanikisha ushindi huo wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 3474980View attachment 3474981
hiyo kadi ya chadema ni ya lini?? matapeli wamekutana
 
Kwahiyo wameona kampeni ya No reforms no Election kwao ni ngumu? Au ndio wale CCM wanavalishwa nguo za CHADEMA kionesha umma kutulisha tango pori?!

Yaani CHADEMA avumilie kote huko aje kuhama leo? Msitufanye watu wajinga banašŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£

=========

Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewapokea wanachama wapya 7 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao wameahidi kuungana na wanachama wa CCM Kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Aidha Katibu Mkuu Suzan Kunambi Amewataka viongozi wa UWT Wilaya ya Iringa Mjini kudumisha umoja na Mshikamano ili kufanikisha ushindi huo wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 3474980View attachment 3474981
Hiyo kadi ya zamani halafu ndiyo imetoka kwa printer Leo leo hawajui kuwa hizo kadi tulishaachana nazo kitambo sana, hivi CCM wataacha lini hii punyeto ya kisiasa?
 
Walitoka Chadema wakahamia Chaumma.Chama kisicho na mizizi itakuwa CCM?
Kijana huwezi kuzuia jua kwa ungo.
 
Kwahiyo wameona kampeni ya No reforms no Election kwao ni ngumu? Au ndio wale CCM wanavalishwa nguo za CHADEMA kionesha umma kutulisha tango pori?!

Yaani CHADEMA avumilie kote huko aje kuhama leo? Msitufanye watu wajinga banašŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£

=========

Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC), amewapokea wanachama wapya 7 kutoka Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao wameahidi kuungana na wanachama wa CCM Kuhakikisha chama hicho kinapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.

Aidha Katibu Mkuu Suzan Kunambi Amewataka viongozi wa UWT Wilaya ya Iringa Mjini kudumisha umoja na Mshikamano ili kufanikisha ushindi huo wa Chama Cha Mapinduzi .

View attachment 3474980View attachment 3474981
Waliokimbia Chaibwabwa au?
 
Back
Top Bottom