NJOMBE KING
Senior Member
- Jan 2, 2014
- 197
- 22
Acha ujinga wewe ni mtu mzima. unapaswa kuwa mkweli achakuweka habari za uwongo kwa kutaka usikike
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Subiri sombetini ndio utajua Arusha wakoje, wenzako wanatafakari umeme kupanda bei tena wana hasira kuliko subiri uone. Tena na mgao wa umeme ndio usiseme.
nahisi kichefuchefu... Au kuna mtu ameharisha humu ndani jamani
duuh akya shetani mleta mada anagonorea
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Acha upuuzi ndo maana unataka kuolewa na zito, harusi yenu lini vile?????Kubali ukweli acha ushabiki usiyofaa. Hao wanawaza mengi ikiwa ni pamoja na wamiliki wa chama kuchukua mpunga toka kwa mzee wa musoma na kutosimamisha mgombea kwa awam tatu. Uzinzi wa wamiliki wa chama. Utekaji nyara kwa sasa imebainika wamiliki chama ndiyo wanaopanga na haraka haraka kusingizia polisi mfano ni Dar. Nk.
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!
Arusha hawaipendi chadema kama chadema, wao adui wao ni ccm. Hata leo chausta kikionyesha muelekeo pia itakubalika arusha. Kwa kifupi arusha ni kheri kuacha kupiga kura kuliko kuwapigia ccm. Mara nyingi wanasisitiza kuwa ni bora hata ukimwi kuliko ccm
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.