Wanachadema Arusha vp tena?

Wanachadema Arusha vp tena?

Kubali ukweli acha ushabiki usiyofaa. Hao wanawaza mengi ikiwa ni pamoja na wamiliki wa chama kuchukua mpunga toka kwa mzee wa musoma na kutosimamisha mgombea kwa awam tatu. Uzinzi wa wamiliki wa chama. Utekaji nyara kwa sasa imebainika wamiliki chama ndiyo wanaopanga na haraka haraka kusingizia polisi mfano ni Dar. Nk.
 
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.

Hadithi hii inakufundisha nini?? Haya kakojoe ukalale.
 
Wewe!!!Arusha watu sio mataahira,wanajitambua vyema ukiona wameshangilia kuna sababu sio mikurupuko kama wale wa ccm na cuf wanaoweza hata kununuliwa kumshabikia zuzu msanii aliyefikiri WATANZANIA NA HASA WANACHADEMA NI MANUNDA kiasi kwamba awasaliti na wasitambue kwamba amenunuliwa."WATU WAKO KWENYE HOJA ZA MSINGI SIO ZITO UKIMSIKIA MTU ANAMTETEA ZITO ARUSHA BASI UJUE HUYO NI CCM AMA CUF".
 
Nahisi watu bado wanawatafuta watu wa A town manake wakati wa uchaguzi mdogo wa wadiwani mlichonga sana lkn mkapigwa 4-0 sasa mnaanza ohh wanachama wa arusha sie yetu macho na masikio hii ndio r.chugga.
 
Nahisi watu bado wanawatafuta watu wa A town manake wakati wa uchaguzi mdogo wa wadiwani mlichonga sana lkn mkapigwa 4-0 sasa mnaanza ohh wanachama wa arusha sie yetu macho na masikio hii ndio r.chugga.
 
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!

kichwa chako ni kwaajili ya kunyoa kiduku. tu
 
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.

Labda uliota tu, lakin upo Tanga.
 
Kubali ukweli acha ushabiki usiyofaa. Hao wanawaza mengi ikiwa ni pamoja na wamiliki wa chama kuchukua mpunga toka kwa mzee wa musoma na kutosimamisha mgombea kwa awam tatu. Uzinzi wa wamiliki wa chama. Utekaji nyara kwa sasa imebainika wamiliki chama ndiyo wanaopanga na haraka haraka kusingizia polisi mfano ni Dar. Nk.
Acha upuuzi ndo maana unataka kuolewa na zito, harusi yenu lini vile?????
 
Nawahakikishia kuwa Mbowe, Slaa,Mnyika,Lema,Sugu,Msigwa,Tundu Lisu hawa wote ni mbwa mwitu na mashetani hatari sana mbele ya Chadema chakavu. Kumbuka ngoma ikivuma sana haikawii kupasuka. Ngoma ya watoto haikeshi na pia mtoto mchanga halali na hela, mtoto mdogo hulala na mavi yake kwenye nepi. Chadema ni sawa na mtoto mchanga. pia ikumbukwe kuwa chadema watakufa wameegemea choo.
 
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.

Zitto kakutuma upost hii ujinga tafuta mazuzu uwadanganye
 
Watu wamechoshwa na upuuzi wa LEMA. Sio Philips tu, ukipita maeneo ya mwanama, Ngulelo, Ngaramtoni ya juu, Mgusero, Mbauda, Sakina, Esso, Ungalimited, Matejoo Kwa Giriki, Sanawari, Mianzini, Ilboru, Kimandolu, Tengeru, Njiro, Daraja Mbili, Sinon, Sombetini, Kwa Mromboo, Majengo, Kisongo, Sekei, Moshono etc Huku kote wamechoka kusikia kitu inaitwa CHADEMA, wanasubiri uchaguzi tu wawape haki yao!!!

Utapata jibu la udaku wako tarehe 9.2.2013
 
Arusha hawaipendi chadema kama chadema, wao adui wao ni ccm. Hata leo chausta kikionyesha muelekeo pia itakubalika arusha. Kwa kifupi arusha ni kheri kuacha kupiga kura kuliko kuwapigia ccm. Mara nyingi wanasisitiza kuwa ni bora hata ukimwi kuliko ccm

Hiyo unayosema we nadhani Arusha ya Kigoma ambayo naibu katibu mkuu anatetea ubunge wake tu na kata moja turn kwenye jimbo lake kama haitoshi anauza majimbo kadhaa mengine Halafu anarudi Ars ya Kgm wanamuona shujaa.
 
Wadau,
leo majira ya saa nane na nusu mchana nilikuwa jijini Arusha katika maeneo ya corner ya Philips, hiki ni kijiwe maarufu cha cdm, mida hiyo niliona gari ya cdm, toyota hilux double cabin yenye maandishi ya M4C, kawaida gari hii ikipita mitaa hiyo huwa kunakuwa na shangwe na miluzi ya vijana lkn leo vijana wote walikaa kimya na kuiangalia tu huku wakiendelea na kazi zao, binafsi naona watu hawapo happy na huu mgogoro unaoendelea, cdm mkiipoteza ars mmekwisha,jipangeni.

Udaku mbaya ndugu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom