Dont go away
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 501
- 208
Ma dc, RC na waliokuwa wabunge nao wapo njiani kuja dar....yaan hali ni mbaya sana..
Ma dc, RC na waliokuwa wabunge nao wapo njiani kuja dar....yaan hali ni mbaya sana..
Ni shiiidaaa. Wakitupia goli la mkono tunawalamba RED CARD na PENATI juu!!!
Akili kubwa hii.
na huko watamkata tu, wanataka kupiga pesa zake watu wana dhambi sana. Ila tatizo ni yy mwenyewe JK kambeba kuanzia watu ndani ya CCM walikuwa hawataki awe PM. JK akasimama kidete akamteua kwa kulazimisha awe PM wafanye kazi pamoja maana alikuwa mratibu mtandao. Kashindwa kazi kaharibu, sasa ilibidi ajue tu huwezi kuharibu u PM cheo ambacho unafanya karibu majukumu yoote ya raisi alafu watu wafumbe macho wakukabidhi tema uraisi
ATULIE TU SASA MZEE WA WATU, KAZI ZIPO NYINGI SIO URAISI TU. ROSTAM ALIACHA UBUNGE NA MAMBO YAKE YANAENDA TU TENA HATA KUTUKANWA NA MAGAZETI HATUKANWI TENA
Ni kama vile unajitekenya na kucheka mwenyewe..mkuu bila lowasa..huyo jk wako asingekuwa rais..hujii kuwa ndo yeye alompigia campaign? ..amka saa ya ukombozi imewadia..lazima wang'olewe..wananchi tumechoka!
Yaani ni moto... sbb ana wabunge zaidi ya 150 wa CCM, hao ni wabunge ambao wako sasa hivi, sio retired MPs...!!! Wenyeviti CCM MIKOA, WILAYA, UVCCM, jumlisha madiwani CCM nchi nzima, na wana CCM mamilioni, 4U movement, bodaboda, Waalimu, wafugaji nchi nzima, wakulima, maaskofu, masheikh, machinga, wafanya biashara, waislam, wakristo...
Yaani sijui, maana UKAWA + Lowassa ni nguvu kuu ya Mungu, hakuna jinsi, CCM ni kifo kabisaa
habari za jumamosi,
sijui ccm itaponea wapi, yaani nguvu ya chadema, ukawa + lowassa ni hatari tupu kwa ccm, ccm inaenda kunyongwa wiki ijayo...
Hizi ni habari za uhakika, tukae kimya hadi mtakapoona wana ccm mamilioni wafuasi wa lowassa kwa makundi wakienda chadema, na kisha wananchi wasio wana ccm mamilioni wakijiunga chadema, na watapokelewa ktk sehemu mbali mbali, na kurushwa rasmi na vituo kadhaa vya tv, yaani sijui..
Daah, hii sasa ni noma...yetu macho..!!!
Tanzania mpya naiona, ileeeee october 2015...!!!
Ni kama vile unajitekenya na kucheka mwenyewe..mkuu bila lowasa..huyo jk wako asingekuwa rais..hujii kuwa ndo yeye alompigia campaign? ..amka saa ya ukombozi imewadia..lazima wang'olewe..wananchi tumechoka!
tetetetete mkuu naona waliokuwa wanakuponda humujukwaani kuwa unaleta uzushi sasa wamepoteana
ofisi za chadema zipo wapi Dar nikachukue kadi wakuu
Huu ni mpango wa mungu tu na si vinginevyo.