Wanaandaa wahaini walioachiwa waje kumshukuru mbele ya camera

Wanaandaa wahaini walioachiwa waje kumshukuru mbele ya camera

torosi

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2020
Posts
1,114
Reaction score
2,088
Mnanahangaika sana

Hili nalo litaongeza hasira zaidi kwa wananchi, mmewapiga na kuwazalilisha vijana wa watu leo mnataka kuwaweka mbela ya camera kumshukuru na kumpaka mafuta mhaini kwa kuwatoa ndani .?
 
Ni vichaa na wengine wamewabaka kabisaa, hao hata wakiwaachia chuki walionayo moyoni wakipata upenyo tu wanalipiza *10 ya waliofanyiwa!
 
Mnanahangaika sana

Hili nalo litaongeza hasira zaidi kwa wananchi, mmewapiga na kuwazalilisha vijana wa watu leo mnataka kuwaweka mbela ya camera kumshukuru na kumpaka mafuta mhaini kwa kuwatoa ndani .?
hii nayo imevuja basiwatashukuru kwa unafiki
 
Mnanahangaika sana

Hili nalo litaongeza hasira zaidi kwa wananchi, mmewapiga na kuwazalilisha vijana wa watu leo mnataka kuwaweka mbela ya camera kumshukuru na kumpaka mafuta mhaini kwa kuwatoa ndani .?
Hata ile issue ya mama niffer kulia kumuomba SAMUYA amsamehe mwanae ni MOVIE la IDARA.
 
Hayo mashetani yawafufue basi na marehemu wote waliowaua ili wawaombe msamaha. Kinyume na hapo, mimi nawasihi Gen Z kuendelea tu pale walipoishia.
 
Mnanahangaika sana

Hili nalo litaongeza hasira zaidi kwa wananchi, mmewapiga na kuwazalilisha vijana wa watu leo mnataka kuwaweka mbela ya camera kumshukuru na kumpaka mafuta mhaini kwa kuwatoa ndani .?
Hii ni mbaya saana, ni laana kwa Taifa
 
Kunawakati huwa nahisi Bi Chura anashauriwa na majini au waganga za kienyeji,maana Kuna baadhi ya matukio huwa yananisabishia utata sana kuyaelewa 🤣🤣 na unaweza kudhani ni utani ,usije ukashangaa ikawa nikweli akawakusanya madogo na kuwavisha mavazi ya CCM kisha kujipanga mbele ya camera.

Kwa mwanafamily wangu sintakubali ashiriki huo ungese aisee 👺
 
Back
Top Bottom