GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
- Thread starter
- #41
Sasa hao TFF na polisi hawana weledi kabisa ...kwanini Kama ni kweli habari hizi zivuje?
Mbona na Wewe 'Unavuja' Sisi tunajua japo huwa unafanya ni Siri?
Sasa hao TFF na polisi hawana weledi kabisa ...kwanini Kama ni kweli habari hizi zivuje?
Nadhani unanitukana ..unataka nikuripoti?! ' navuja' maana yake Nini?Mbona na Wewe 'Unavuja' Sisi tunajua japo huwa unafanya ni Siri?
Nadhani unanitukana ..unataka nikuripoti?! ' navuja' maana yake Nini?
Ok nadhani wewe utanizoea sanaKwani 'Tarakimu' hii ya ID yako 1954 inaonyesha 'Jinsia' yako? Halafu mbona unakuwa na 'Hasira' sana Mkuu au Bahari ya Sham ( K ) inatiririsha?
Exactly ndicho tulicho kifanya subilini tumuonyeshe kazi hii ndio yanga bwanaMorrison alikamatwa na polisi juzikati na kupelekwa kituoni kwa mahojiano, baada ya kuandikishwa maelezo kutia sain ya kuyakubali maelezo yake pale tayari kilakitu kilipatikana. Tayari sain yake itakwenda kulinganishwa na ile aliyo mwagika katika mkataba wa GSM. Mbumbumbu mkiambiwa Yanga ni Taasisi kubwa hamwamin Sasa subirini. Waalimu wa Morrison apa Tanzania ni Mbumbumbu fc ambao hawajui wanancho kifanya.
Kuna mbinu nyingi kumkamata mtuhumiwaAkili hauna wewe watashindwaje kupata saini wakati alishasaini nao miezi sita kwanini wasilinganishe naio
Mipovu ya misimu mingapi vle PATUPUMorrison alikamatwa na polisi juzikati na kupelekwa kituoni kwa mahojiano, baada ya kuandikishwa maelezo kutia sain ya kuyakubali maelezo yake pale tayari kilakitu kilipatikana. Tayari sain yake itakwenda kulinganishwa na ile aliyo mwagika katika mkataba wa GSM. Mbumbumbu mkiambiwa Yanga ni Taasisi kubwa hamwamin Sasa subirini. Waalimu wa Morrison apa Tanzania ni Mbumbumbu fc ambao hawajui wanancho kifanya.
Watu waligushi sahihi yake lakini cha ajabu akaenda kwa Engineer ili wavunje mkataba. Strange indeed!BENARD MORRISON KUMALIZA 'MASINEMA' YAKE NA YANGA
Shirikisho la kabumbu nchini Tanzania (TFF) limesema hukumu ya madai ya kughushi saini ya mchezaji Bernard Morrison itatolewa Agosti 10 baada ya kazi ya uchunguzi iliyofanywa na Jeshi la Polisi kumalizika.
Kiungo huyo mshambuliaji kutoka nchini Ghana aliishitaki Young Africans kwa TFF, akidai kuwa saini yake imefaniwa fojari katika mkataba wa miaka miwili, ambao klabu hiyo yenye maskani yake kwenye makutano ta mitaa ya Twiga na Jangwani jijini Dar es salaam, imeuwasilisha TFF na Shirikisho la kandanda duniani (FIFA).
Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF, Elias Mwanjala amesema kwa sasa wapo katika hatua za mwisho za uchunguzi wa suala hilo na hawana haja ya kuwa na papara ili kupata majibu sahihi.
Mwanjala amesema awali walipanga kutoa uamuzi wa suala hilo mwishoni mwa mwezi Julai na baadaye kupeleka mwanzoni mwa mwezi huu, lakini walishindwa kufanya hivyo kutokana na sababu mbalimbali zilizo nje ya uwezo wao.
globalpublishers
Kuna Watu walidhani ule 'Uhuni' wao waliokuwa wakiufanya wakati JK Yanga Mwenzao akiwa Madarakani basi na kwa JPM huyu watauendeleza tu.
Hilo lipo TFF tusubiri Jumatatu.Kwa kauli ya yule eng. Wa gsm ni wazi Morison hakusaini yanga kwani amesema kama Simba watamtambulisha Morison ni wazi watakuwa wao ndio waliwahujumu mimi nilitegemea angesema kama Simba wakimtambulisha Morison wakati wana mkataba naye wangewachukulia Simba hatua za kisheria