Wana UKAWA tumsikilize Mh lowasa Azam tv

Wana UKAWA tumsikilize Mh lowasa Azam tv

Rais kishakujibu " Kama wanabisha waanze leo hii niwaoneshe kazi wasisubiri September"

..Raisi ameteleza.

..eti " niwaonyeshe kazi."!!

..kwani anakwenda kupambana nao au anatuma POLISI?

..mambo haya hayahitaji HASIRA na MABAVU.
 
Wana bodi hasa wana wa ukawa tujipange vema ili ifikapo siku ya jumapili saa 3 asubuhi tumsikilize kiongozi wetu wa mioyo ya mamilioni ya watanzania mh Edward Ngoyai Lowasa wakati atakapo kuwa anafanya mazungumzo na Tido mhando.Huyo ndiye kipenzi cha mamilioni ya watanzania
Vipi utajitokeza kwenye maandamano au wewe unaandamania humu humu JF.
 
Wana bodi hasa wana wa ukawa tujipange vema ili ifikapo siku ya jumapili saa 3 asubuhi tumsikilize kiongozi wetu wa mioyo ya mamilioni ya watanzania mh Edward Ngoyai Lowasa wakati atakapo kuwa anafanya mazungumzo na Tido mhando.Huyo ndiye kipenzi cha mamilioni ya watanzania
Ukawa bado ipo?
 
Lowassa kashawashikisha chadema ukuta. Maumivu yameanza ndo mnakumbuka kuwaita ukawa! Ama kweli mmeishiwa
 
Nasubiri September mosi tu tuone mwenye nguvu sababu mbowe kasema nchi nzima
 
KUNA HATARI YA CHAMA CHA SIASA KUGEUKA WAASI ASEE,
MUNGU WANGU MSTIKABARI WA TAIFA LANGU NI UPIIII????? HIVI HAWA WAROHO WA MADARAKA WANATAKA NA SISI TUANZE KUWA WAKIMBIZI????
MI NI KIJANA NTAKIMBIA NA MUNGU AKIJARIA NTAFANIKIWA KUKIMBIA, VIPI MAMA YANGU, BIBI YANGU, MZEE WANGU WADOGO ZANGU WASIO NA UWEZO WA KUKIMBIA???


HAKIKA KATIKA MAOMBI NACHURUZIKA MACHOZI YA DAMU
 
KUNA HATARI YA CHAMA CHA SIASA KUGEUKA WAASI ASEE,
MUNGU WANGU MSTIKABARI WA TAIFA LANGU NI UPIIII????? HIVI HAWA WAROHO WA MADARAKA WANATAKA NA SISI TUANZE KUWA WAKIMBIZI????
MI NI KIJANA NTAKIMBIA NA MUNGU AKIJARIA NTAFANIKIWA KUKIMBIA, VIPI MAMA YANGU, BIBI YANGU, MZEE WANGU WADOGO ZANGU WASIO NA UWEZO WA KUKIMBIA???


HAKIKA KATIKA MAOMBI NACHURUZIKA MACHOZI YA DAMU
Rais wetu asipoangalia ataligawa taifa hili vipande vipande, hata huko kwenye zenye waasi walianza hivi hivi kunyimwa Uhuru. Wakaingia msituni. Naomba Mungu tusielekee huko jamani
 
Rais wetu asipoangalia ataligawa taifa hili vipande vipande, hata huko kwenye zenye waasi walianza hivi hivi kunyimwa Uhuru. Wakaingia msituni. Naomba Mungu tusielekee huko jamani
Hapa mi naona kati ya watu wenye wasiofadhirika watanzania tunaongoza, hivi ni inchi gani duniani ambayo baada ya uchaguzi kampeni zinaendelea???????
Hivi uhuru tunaoutaka ni uhuru upi tafadhari mnisaidie,
Tukumbuke enzi za jk watu tulimzonga sana kwa kua alikua katuachia kila mtu kafanya yake, wapo waliozitumia fulsa wakafanya yaliyo fanyika, ikaenda mzee wa watu ikafika hatua akaambiwa hata hajitambui kuwa yeye ni raisi, anekua mpole mnoo, hashughurikii hawa wezi kisa ni wana ccm
Na mengi mengine sawa na hayo,

Au tunataka nchi iongozwe kwa zamu?! Kwamba ccm imeongoza miaka 50 na sasa iwe zsmu ya chadema miaka mingine 50 ?? Mi naamini haya anayoyafanya raisi tungeyaona kipindi kile kama dr slaa angepita kwenye uraisi

Agenda takribani zote zimetoka chadema anazozifanyia kazi kipindi kike chadema ilipokua makini


Ok tutaingia mstuni na tujue hatumkomoi raisi nyinyi akina mama sijuii aseeee
 
Sasa hivi anakimbia kivuli chake
Kama wewe ulivyoanzisha huu uzi alafu unaijaza kwa kucomment wewe mwenyewe, bavicha naona shughuli ya kushika UKUTA inawatoa jasho, ila ndo mmeichagua wenyewe hamna budi.
 
Back
Top Bottom