MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Haya Magazeti siku Yanga ikifungwa hayaandiki kwa Ukubwa wake na tena unaweza hata Habari ya Yanga SC Kufungwa usiikute au ukaikuta katika Kurasa za ndani ila Siku tu Simba SC ikifungwa utaona wanaipa Habari hiyo Umuhimu mkubwa katika Kurasa za mbele huku wakiikoleza kabisa.
Tumechoka na aina hiii ya Unafiki na leo hii nawaombeni wana Simba SC wenzangu wote kuwa hakuna Kununua tena Magazeti ya Kiunazi ( yanayoipendelea Yanga SC ) ya Mwanaspoti, Tanzania Daima na Nipashe hadi pale yatakapojirekebisha na iwe Fundisho kwa Magazeti mengine na Waandishi wa Habari wengine.
Jana Yanga SC imefungwa tena huku Goli lingine Mwamuzi Saanya akiliweka Kwapani mwake halafu leo Vichwa vya haya Magazeti wamendiika nanukuu..." Yanga SC ndiyo kama mlivyosikia " huku lingine likiweka tu Picha ya Goli 1 la Ruvu na 0 la Yanga na lingine halijaiweka kabisa mbele hiyo Habari huku wakiwa wameipa Kipaumbe kidogo sana.
Sasa subiria Magazeti haya kama Simba SC leo nayo itafungwa uone watakavyoandika Vichwa vyao vya Habari vibaya na vya Kuikandamiza Simba SC Kesho. Na walivyo Wanafiki hata pale tu Simba SC ikitoka Sare bali Vichwa vyao vya Habari vinakuwa ni vya Kuidhihaki Simba SC kwa gharama ya Kuipendelea Yanga SC.
Tumewachokeni sasa na sasa nasi wana Simba SC tutawakomoeni kwa namna hii ya Kiuchumi kama siyo Kimapato ili mkome.
Tumechoka na aina hiii ya Unafiki na leo hii nawaombeni wana Simba SC wenzangu wote kuwa hakuna Kununua tena Magazeti ya Kiunazi ( yanayoipendelea Yanga SC ) ya Mwanaspoti, Tanzania Daima na Nipashe hadi pale yatakapojirekebisha na iwe Fundisho kwa Magazeti mengine na Waandishi wa Habari wengine.
Jana Yanga SC imefungwa tena huku Goli lingine Mwamuzi Saanya akiliweka Kwapani mwake halafu leo Vichwa vya haya Magazeti wamendiika nanukuu..." Yanga SC ndiyo kama mlivyosikia " huku lingine likiweka tu Picha ya Goli 1 la Ruvu na 0 la Yanga na lingine halijaiweka kabisa mbele hiyo Habari huku wakiwa wameipa Kipaumbe kidogo sana.
Sasa subiria Magazeti haya kama Simba SC leo nayo itafungwa uone watakavyoandika Vichwa vyao vya Habari vibaya na vya Kuikandamiza Simba SC Kesho. Na walivyo Wanafiki hata pale tu Simba SC ikitoka Sare bali Vichwa vyao vya Habari vinakuwa ni vya Kuidhihaki Simba SC kwa gharama ya Kuipendelea Yanga SC.
Tumewachokeni sasa na sasa nasi wana Simba SC tutawakomoeni kwa namna hii ya Kiuchumi kama siyo Kimapato ili mkome.