Wana ndoa kwa wiki mnakutana mara ngapi

Wana ndoa kwa wiki mnakutana mara ngapi

Kila siku mara 2 alfajiri na kabla ya kulala. Vipi una tatizo na utaratibu wetu? Kwako unaweza?
 
Ndoa inachangamoto nyingi sana, hasa mnapokuwa na familia.

Inafika wakati Mwanaume anawaza hili, mke nae anawaza lile...mke na mme wanalala kitanda kimoja lakini wanachokiwaza usiku kila mmoja ni mbingu na ardhi.

Kubali tu kuwa kulingana na majukumu ya mwanaume kuhusu familia inafika wakati hata hisia za mapenzi zinapungua....ila sio kwa mchepuko..
 
Kweli
Ndoa inachangamoto nyingi sana, hasa mnapokuwa na familia.

Inafika wakati Mwanaume anawaza hili, mke nae anawaza lile...mke na mme wanalala kitanda kimoja lakini wanachokiwaza usiku kila mmoja ni mbingu na ardhi.

Kubali tu kuwa kulingana na majukumu ya mwanaume kuhusu familia inafika wakati hata hisia za mapenzi zinapungua....ila sio kwa mchepuko..
Kabisa
 
uzi huu maalum kwa wana ndoa au watu wanaoishi na wenzao ,nmekuja kuuliza maana leo katika pita pita zangu mtaani nipo sehemu nikaona mdada ana lalamika kuwa kachoka na baba boke maana baba boke kila siku anataka ana mshauri wapange kuwa kwa wiki iwe hata mala moja aliposema mala moja mwenzake akastuka akasema wafanye hata mala mbili ,mwenzao mwingine akasema wafanye mala tatu ,mpaka naondoka eneo la tukio nikaacha mjadala nikasema ngoja niulize wadau eti ili ionekane unamtendea haki mwenzio kwa wiki inaitajika mala ngapi
Dogo hiyo kitu inategemea ndani kama pana furaha!! Kama hamna hata mwezi mtamaliza na hakuna shida. Pia inategemea na upya wa ndoa yenyewe !! Mwanzo mambo hua motomoto
 
Hakuna formula inategemea hali zenu kiafya,changamoto za mahusiano, ubize au majukumu ya utafutaji. Kwa mm kuna wakat nafululiza week na upo wakati naweza kupotezea hata week mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom