Duhhh.....Wanandoa Mkuje huku bwana!! Mseme kweeli maana najua kuna wanaonyimwa

Bahati mbaya sana wanaume wengi tumesahau kwamba tendo la ndoa ni hitimisho la fura ndani ya ndoa.Binadamu tunatofautiana sana hivyo ni bora kukubaliana na mwenza wako ili wote muweze kufurahia tendo la ndoa
Hicho alichotaja chenyewe pia ni kiasi..Fanyeni kila kitu kwa kiasi... soma maandiko dada yangu
Mjibu jaman teh tehMmmh
Ulikuwa unawachungulia eenhBaada ya kumaliza kusoma huu uzi, nikagundua yafuatayo kutoka kwa baba Bhoke.
1- Baba Bhoke hafanyi maandalizi kwa mkewe wakati wa tendo la ndoa, hivyo mama Bhoke anaamua kumpa mumewake hata kama hana utayari.
Hali hii imemfanya mama Bhoke asifurahie tendo la ndoa na kiuhalisi, mama Bhoke amekua akibakwa na Baba Bhoke.
2- Baba Bhoke hajatenga muda wa kumrairai/kumpetipeti mama Bhoke na badalayake baba Bhoke anadhani anamtosheleza mkewake kwasababu anamtimizia kila anacho kihitaji.
3- Mama Bhoke hapati muda wa kusikilizwa na Baba Bhoke, na hii humfanya mama Bhoke ajione kama chombo tu cha kutumika kingono na mumewe hata kama pengine anamahitaji yake ya msingi kama mke.
Kama mwanamke hakuvutii, kwaniniuponae...!!Inategemea na mvuto wa mwanamke

Naunga mkono hoja...24/7 hakuna ratiba siku, saa wala dakika.ni kujiachia tu kwa raha zenu

Hata ninyi msio wana ndoa mkuje mchukue yote mazuri hapa na mabaya myaachie humuhumu....Uzi wa wanandoa huu
Veepe
Ongea taratibu
HahaHiyo veepe ni veepe.
Wanandoa fungukeni tujifunze
Nikijisikia tu namwambia mama Shija hebu njoo kuna hela yangu ilidondoka nitafutie huku chumbani .
Akija tuu ngwala!
