wana ndoa au wenye uzoefu

Golder , jua kwamba hakuna kanuni katika jambo hili na wala hakuna kitu kinachoitwa ratiba inayoweza kuwa sawa kwa wote. Hili ni suala la mme na mke kukubaliana lakini pia linategemea hamu ya kila mmoja. Hata kula chakula cha kawaida, japo tunajipangia kula angalau mara tatu kwa siku asubuhi, mchana na jioni naamini kuwa ukijisikia hamu ya kula muda wowote na uwezo upo unakula. Na wakati mwingine ni kuwa mchana au jioni pamoja na kuwa ni ratiba ya kula chakula, unaweza usile chakula kwa kuwa husikii hamu ya kula. Ndivyo ilivyo kwenye ndoa kwamba itategema hamu ya mmojawapo au wote kwa pamoja; mkijisikia kufurahishana kila siku hakuna atakayewaingilia ilimradi mmepatana na kila mmoja anamfurahia mwenzake. Kinachotakiwa kwenye ndoa ni kuchukuliana na kusindikizana, usimlazimishe mwenzako kama hajafikia hatua ya kujisikia na ni wajibu wako wewe unayejisikia kutengeneza mazingira ya mwenzako kujisikia ili furaha iwe kwa wote.
 
Golder , jua kwamba hakuna kanuni katika jambo hili na wala hakuna kitu kinachoitwa ratiba inayoweza kuwa sawa kwa wote. Hili ni suala la mme na mke kukubaliana lakini pia linategemea hamu ya kila mmoja. Hata kula chakula cha kawaida, japo tunajipangia kula angalau mara tatu kwa siku asubuhi, mchana na jioni naamini kuwa ukijisikia hamu ya kula muda wowote na uwezo upo unakula. Na wakati mwingine ni kuwa mchana au jioni pamoja na kuwa ni ratiba ya kula chakula, unaweza usile chakula kwa kuwa husikii hamu ya kula. Ndivyo ilivyo kwenye ndoa kwamba itategema hamu ya mmojawapo au wote kwa pamoja; mkijisikia kufurahishana kila siku hakuna atakayewaingilia ilimradi mmepatana na kila mmoja anamfurahia mwenzake. Kinachotakiwa kwenye ndoa ni kuchukuliana na kusindikizana, usimlazimishe mwenzako kama hajafikia hatua ya kujisikia na ni wajibu wako wewe unayejisikia kutengeneza mazingira ya mwenzako kujisikia ili furaha iwe kwa wote.


thanks bishop,there i am
 
The Mighty Biggie Asprin ....The experienced! ODM! Hapa ushauri lazima aukubali...otherwise hebu mpeni kontakti zangu nimpeleke kwa mama matesha akafundwe...!

Huyu Golder nahisi ni wale wanaotaka kumzawadia mume siku ya harusi which is sweet but rare nowadays mimi mwenyewe wala sikustahili zawadi hiyo siku ya harusi kwakuwa nilishawaondolea mabinti watatu kabla.
 
The Mighty Biggie Asprin ....The experienced! ODM! Hapa ushauri lazima aukubali...otherwise hebu mpeni kontakti zangu nimpeleke kwa mama matesha akafundwe...!

asprini huyo mama matesha ntamwalika kwenye kitchen party yangu
 
Huyu Golder nahisi ni wale wanaotaka kumzawadia mume siku ya harusi which is sweet but rare nowadays mimi mwenyewe wala sikustahili zawadi hiyo siku ya harusi kwakuwa nilishawaondolea mabinti watatu kabla.


uporota daaah acha hizo bana we cha kufanya ni kutoa experience yako hayo mengine hayakuhusu bana
 
halafu hivi Smiles na Beauty ni mapacha au ni ndugu wa damu??:tonguez::tonguez::tonguez:

Umeona eeh.....?
hiyo ni moja kati ya benefits kuu za chama pinzani.....!
mkisha kaa pamoja for sometime.....mnakuwa kama ndugu vile!! :A S tongue::A S tongue::A S tongue:
 
Umeona eeh.....?
hiyo ni moja kati ya benefits kuu za chama pinzani.....!
mkisha kaa pamoja for sometime.....mnakuwa kama ndugu vile!! :A S tongue::A S tongue::A S tongue:


oooh so you STAY together? My bad...I should have known this before...:redfaces::redfaces::redfaces:
 
Umeona eeh.....?
hiyo ni moja kati ya benefits kuu za chama pinzani.....!
mkisha kaa pamoja for sometime.....mnakuwa kama ndugu vile!! :A S tongue::A S tongue::A S tongue:
well said Smiles, mi penda wewe.
 
Wewe kijana mbona???????

Asikudanganye mtu. Hakuna anayeweza kufanya kila siku. Jambo hilo ni very costly. Unahitaji nguvu na lishe. Maana mwanamme akishusha kimoja anatumia nguvu sawa na ya kutembea umbali Kilometa moja!!!!!!!! Ndiyo Kilometa moja. Kibiolojia siyo vizuri na hata kiafya si jambo zuri unaweza kufa ati. Pia mambo haya yahitaji maandalizi ili mstarehe na siyo sitaili ya Kuku. Ndoa ni zaidi ya ngono ila wanandoa wanahakikishiwa kupata wanapohitaji; maana imeandikwa kuwa mpeane na msinyimane hiyo ni haki ya ndoa. Kwa hiyo usihofu mama. Uzuri wa hii kitu inayoitwa ndoa ni kwamba waliomo wanataka kutoka na walio nje wanataka kuingia. Kazi kwako
 
wewe kijana mbona???????

Asikudanganye mtu. Hakuna anayeweza kufanya kila siku. Jambo hilo ni very costly. Unahitaji nguvu na lishe. Maana mwanamme akishusha kimoja anatumia nguvu sawa na ya kutembea umbali kilometa moja!!!!!!!! Ndiyo kilometa moja. Kibiolojia siyo vizuri na hata kiafya si jambo zuri unaweza kufa ati. Pia mambo haya yahitaji maandalizi ili mstarehe na siyo sitaili ya kuku. Ndoa ni zaidi ya ngono ila wanandoa wanahakikishiwa kupata wanapohitaji; maana imeandikwa kuwa mpeane na msinyimane hiyo ni haki ya ndoa. Kwa hiyo usihofu mama. Uzuri wa hii kitu inayoitwa ndoa ni kwamba waliomo wanataka kutoka na walio nje wanataka kuingia. Kazi kwako

thanks in advice leopold
 
Back
Top Bottom