Wana Mzumbe, naombeni msaada

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
723
544
Wakuu mliosoma chuo cha Mzumbe na mnaosoma Mzumbe nataka kujuzwa kuhusu kurudia mwaka. Ishu iko hivi, ndugu yangu ali disco baada ya hapo aliandika barua ya ku appeal. Wiki ilopita alhamisi kapata majibu kwamba kachomoa somo moja lakini kwa hali ya kifedha ilivyo ngumu tumeshindwa kumlipia ada kwahiyo inabidi andike barua ya kusimamisha mwaka yani ku 'postpone' mwaka.

Sasa wakuu naombeni msaada nifanyaje kwa maana anasema wenzake Jumanne ya kesho wanaanza mitihani na yeye ana zile sap ambazo ilibidi azifanyie mitihan na sasa yuko huku mkoa hayupo Moro na mimi hata nauli ya kumpa aende Moro chuo sina.

Wakuu nisaidieni kutatua hili tatizo mana nimechanganyikiwa sitaki apoteze mwaka. Naombeni msaada wakuu
 
Mpe pole sana, kwa sasa examination bylaw ya Mzumbe imebadilika tofauti na tuliotumia sisi nashindwa kukushauri ila mwambie aongee na Dean wa shule/fakati yake. Atapata pa kuanzia.

Asante
 
Mpe pole sana, kwa sasa examination bylaw ya Mzumbe imebadilika tofauti na tuliotumia sisi nashindwa kukushauri ila mwambie aongee na Dean wa shule/fakati yake. Atapata pa kuanzia.

Asante
sawa mkuu ntafanya ivo
 
Mpe pole sana, kwa sasa examination bylaw ya Mzumbe imebadilika tofauti na tuliotumia sisi nashindwa kukushauri ila mwambie aongee na Dean wa shule/fakati yake. Atapata pa kuanzia.

Asante
Examination and criteria by law iko wazi kabisa mwambie aende kwa Dean of faculty yake angalau siku moja kabla ya examination aandike barua ya kuahirisha mitihani ataruhusiwa kisha ajipange upya hata kwa mwakani

Pia kwa sasa sheria zimrbadilika endapo mwanachuo akawa na supp na special kwa mwaka mmoja atalazimika kufanya kwanza special ktk mwaka husika na baadae kufahamu idadi ya supp zake ili afanye next year

Kwa ujumla ni kwamba huwezi kufanya supp na special ndani ya mwaka mmoja

NB: TELL HIM/HER TO RRPORT TO THE DEAN OF FACULTY IMMEDIATELY.
 
Examination and criteria by law iko wazi kabisa mwambie aende kwa Dean of faculty yake angalau siku moja kabla ya examination aandike barua ya kuahirisha mitihani ataruhusiwa kisha ajipange upya hata kwa mwakani

Pia kwa sasa sheria zimrbadilika endapo mwanachuo akawa na supp na special kwa mwaka mmoja atalazimika kufanya kwanza special ktk mwaka husika na baadae kufahamu idadi ya supp zake ili afanye next year

Kwa ujumla ni kwamba huwezi kufanya supp na special ndani ya mwaka mmoja

NB: TELL HIM/HER TO RRPORT TO THE DEAN OF FACULTY IMMEDIATELY.
sawa mkuuu asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom