Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,563
- 28,524
huyo Ni nani tumjue vizuri? Kumbe serikali imetoa adhabu kwa mbeya? There must be a loose nut somewhere in the brain!! Poor him!Msi inyanyapae CCM
Ewaaa tangu mtangulizi wake apigwe mawe hakuna mradi wa Maendeleo chini ya bajeti yake.Wanajisumbua,Mbeya tukisema hapana ni hapana,ndiyo ni ndiyo.Hiyo serikali yake haijawahi fanya maendeleo Mbeya.Tunaishi kwa msaada wa Benki ya dunia.
Huyo mtu ni mchonganishi, na anaonyesha ni kwa nini serikali imeitenga mbeya kisa wamekumbatia upinzani!! .Kwangu imekataa kufunguka
Msikasirike, sikilizenibukweli anaowapa.Huyo mtu ni mchonganishi, na anaonyesha ni kwa nini serikali imeitenga mbeya kisa wamekumbatia upinzani!! .
Hivi Mbeya serikali haikusanyi kodi? Hujui kukusanya kodi kisha kutopeleka huduma ni wizi tena ujambazi kabisa?Msikasirike, sikilizenibukweli anaowapa.
Mmechagua upinzani sasa mnakula jeuri yenu.
Ukiajiriwa, msikilize aliyekuajiri!Ni akina nani hao wamekaa wanashambuliwa hivyo then wanajichekesha kinafki