Wenyeji wa mkoa huu, nipo Moshi mjini hapa nitakuwepo mpk wikend hii iishe, tujuzane viwanja vya kisasa vya kuburudika ambavyo vinabamba kwasasa, pia maeneo wanayopatikana akina Manka maana sitaki upweke kwa hizi siku kadhaa. Ahsanteni
Nilipokuwa huko nilifanya ZIARA ya kushtukiza maeneo haya RED STONE, BLACK DIAMOND, MALINDI (malaya za kutosheleza nafsi), PUB ALBERTO wengine wataongezea.
Nilipokuwa huko nilifanya ZIARA ya kushtukiza maeneo haya RED STONE, BLACK DIAMOND, MALINDI (malaya za kutosheleza nafsi), PUB ALBERTO wengine wataongezea.
Nilipokuwa huko nilifanya ZIARA ya kushtukiza maeneo haya RED STONE, BLACK DIAMOND, MALINDI (malaya za kutosheleza nafsi), PUB ALBERTO wengine wataongezea.
red stone Pako good Kwa wastaarabu ila ukitaka malaya pitia hapo malindi juu kidogo ya round about ya KCU hapo ni pub za moshi mjini ila kama vip unaweza ruka boma kuna club kama ngalawa, Chicago, kuna fm na nyingi kibao ila unaweza kuja sunsite hapa njia panda ya uwanja wa kia au hapo sadala kuna ki pub naona nyama na bia Kwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.