Wana JF wenzangu nisaidieni hii kitu!

Wana JF wenzangu nisaidieni hii kitu!

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,131
Salaam wakuu,
habari za weekend? i hope iko njema. ni hivi, hiku kitu kimeshawahi kunitokea mara kadhaa sasa sijui kama wewe mwana jf mwenzangu pia kimewahi kukutokea. unakuta kuna sometimes umekaa unapiga story na marafiki au unafanya kitu flani ghafla unapata hisia fulani kwamba jambo hilo ni kama linajirudia unakua unahisi kama ulishawahi kukaa hivyo hivyo na exactly kikafanyika kama hapo ulipokaa kwa wakati huo. hii inatokana na nini au ndio mambo ya paranormal na sub conscious? nisaidieni tafadhali!
 
salaam wakuu,
habari za weekend? i hope iko njema. ni hivi, hiku kitu kimeshawahi kunitokea mara kadhaa sasa sijui kama wewe mwana jf mwenzangu pia kimewahi kukutokea. unakuta kuna sometimes umekaa unapiga story na marafiki au unafanya kitu flani ghafla unapata hisia fulani kwamba jambo hilo ni kama linajirudia unakua unahisi kama ulishawahi kukaa hivyo hivyo na exactly kikafanyika kama hapo ulipokaa kwa wakati huo. hii inatokana na nini au ndio mambo ya paranormal na sub conscious? nisaidieni tafadhali!

deja vu.......
 
Hiyo inatokana na kupenda umbea,uongo na misifa
Unakuta mtu unapewa Story ya tukio na mtu fulani,basi ------ yanakuwasha ukakae kijiwe kingine ili uhadithie uonekane wewe ndio wa mwanzo kuleta habari,na kujifanya kama wewe ndio uliekuwepo kweye hilo eneo la tukio na wengine huuvaa uhusika haswaa na kujifanya walikuwa wenyewe
Na Mbaya zaidi wapo ambao wanajisahau,yaani wewe unampa story basi siku nyingine yeye anajifanya anakupa wewe the same story kumbe anasahau kama wewe ndio ulimuhadithia.
Chanzo chote ni kupenda umbea na uongo.Na Zaidi masifa ya kijinga.
 
salaam wakuu,
habari za weekend? i hope iko njema. ni hivi, hiku kitu kimeshawahi kunitokea mara kadhaa sasa sijui kama wewe mwana jf mwenzangu pia kimewahi kukutokea. unakuta kuna sometimes umekaa unapiga story na marafiki au unafanya kitu flani ghafla unapata hisia fulani kwamba jambo hilo ni kama linajirudia unakua unahisi kama ulishawahi kukaa hivyo hivyo na exactly kikafanyika kama hapo ulipokaa kwa wakati huo. hii inatokana na nini au ndio mambo ya paranormal na sub conscious? nisaidieni tafadhali!

Aisee mkuu afadhali umeleta hii mada hapa jukwaani, am sure tutapata majibu mazuri kutoka kwa ma great thinker wenzetu.
Mimi mwenyewe hii hali huwa inanitokea pia mara kwa mara japokuwa cku hz imepungua, unakuta kuna muda nimekaa au nimeenda sehemu au naongea na mtu alafu ghafla naanza kuhs kuwa hili jambo limeshawahi kutokea before au kama vile nilishawahi kuota hiki kitu na hii siku.
Tafadhali magreat thinker na wanasaikolojia mlioko humu ndani tusaidieni katika hili.
Ahsante !!!!!!!!!!!!!!!
 
salaam wakuu,
habari za weekend? i hope iko njema. ni hivi, hiku kitu kimeshawahi kunitokea mara kadhaa sasa sijui kama wewe mwana jf mwenzangu pia kimewahi kukutokea. unakuta kuna sometimes umekaa unapiga story na marafiki au unafanya kitu flani ghafla unapata hisia fulani kwamba jambo hilo ni kama linajirudia unakua unahisi kama ulishawahi kukaa hivyo hivyo na exactly kikafanyika kama hapo ulipokaa kwa wakati huo. hii inatokana na nini au ndio mambo ya paranormal na sub conscious? nisaidieni tafadhali!

Hii Mada Nadhani Imejadiliwa Sana Kule JAMII INTELLIGENCE. nadhani nenda kule UTAIKUTA.
 
Aisee mkuu afadhali umeleta hii mada hapa jukwaani, am sure tutapata majibu mazuri kutoka kwa ma great thinker wenzetu.
Mimi mwenyewe hii hali huwa inanitokea pia mara kwa mara japokuwa cku hz imepungua, unakuta kuna muda nimekaa au nimeenda sehemu au naongea na mtu alafu ghafla naanza kuhs kuwa hili jambo limeshawahi kutokea before au kama vile nilishawahi kuota hiki kitu na hii siku.
Tafadhali magreat thinker na wanasaikolojia mlioko humu ndani tusaidieni katika hili.
Ahsante !!!!!!!!!!!!!!!

kweli mkuu. sijui hua inatokana na nn
 
Hiyo inatokana na kupenda umbea,uongo na misifa
Unakuta mtu unapewa Story ya tukio na mtu fulani,basi ------ yanakuwasha ukakae kijiwe kingine ili uhadithie uonekane wewe ndio wa mwanzo kuleta habari,na kujifanya kama wewe ndio uliekuwepo kweye hilo eneo la tukio na wengine huuvaa uhusika haswaa na kujifanya walikuwa wenyewe
Na Mbaya zaidi wapo ambao wanajisahau,yaani wewe unampa story basi siku nyingine yeye anajifanya anakupa wewe the same story kumbe anasahau kama wewe ndio ulimuhadithia.
Chanzo chote ni kupenda umbea na uongo.Na Zaidi masifa ya kijinga.

shukran mkuu kwa mawazo yako
 
Ni kweli kabisa mkuu inatokea mara nyingi na kuna wakati unaweza ukamuona mtu kwa mara ya kwanza maeneo fulani akili yako ikakutuma kama ulishawahi kumuona maeneo hayo hayo, mavazi yale yale na pale inakuwa kama amerudia kuja tena maeneo kumbe ni mara yenu ya kwanza.

Ni ngumu namna ya kuelezea lakini nimeshafahamu ulichokusudia
 
Ni kweli kabisa mkuu inatokea mara nyingi na kuna wakati unaweza ukamuona mtu kwa mara ya kwanza maeneo fulani akili yako ikakutuma kama ulishawahi kumuona maeneo hayo hayo, mavazi yale yale na pale inakuwa kama amerudia kuja tena maeneo kumbe ni mara yenu ya kwanza.

Ni ngumu namna ya kuelezea lakini nimeshafahamu ulichokusudia

daah kweli kabsa mkuu!
 
Hiyo inatokana na kupenda umbea,uongo na misifa
Unakuta mtu unapewa Story ya tukio na mtu fulani,basi ------ yanakuwasha ukakae kijiwe kingine ili uhadithie uonekane wewe ndio wa mwanzo kuleta habari,na kujifanya kama wewe ndio uliekuwepo kweye hilo eneo la tukio na wengine huuvaa uhusika haswaa na kujifanya walikuwa wenyewe
Na Mbaya zaidi wapo ambao wanajisahau,yaani wewe unampa story basi siku nyingine yeye anajifanya anakupa wewe the same story kumbe anasahau kama wewe ndio ulimuhadithia.
Chanzo chote ni kupenda umbea na uongo.Na Zaidi masifa ya kijinga.

Mkuu nahisi ujamwelewa mtoa mada
 
usiogope ni kawaida
mi kuna wakati huwa naona vitu au vinatokea vitu exactly kama ambavyo nimewai kuota au kufikiria.
Au kinatokea kitu unaona kama kimejirudia lakini hukumbuki kabisa
 
usiogope ni kawaida
mi kuna wakati huwa naona vitu au vinatokea vitu exactly kama ambavyo nimewai kuota au kufikiria.
Au kinatokea kitu unaona kama kimejirudia lakini hukumbuki kabisa
inasababishwa na nini?
 
Hii Mada Nadhani Imejadiliwa Sana Kule JAMII INTELLIGENCE. nadhani nenda kule UTAIKUTA.
Sie wengine huwa hatutembelei viwanja hivyo bora ilivyoletwa hapa na sisi wengine tumebahatika kuiona.

Mbali na hayo tunashukuru kwa mchango wako
 
Back
Top Bottom