Karibu
Nihakikishie usalama kwanza....!?
Karibu
Nihakikishie usalama kwanza....!?
Hahaha wacha woga ninawalinzi wawili hapa a.k.a dogz so you are safe
Wapi, you mean uko Impala hitel au umekaa round about kama mmasai....!? Anyway, shaka ondoa mkuu, nitapita mara moja.
jaman wana jf natafta mwenyej wangu kutoka kwenye kundi, nipo arusha namwitaj rafk yeyote ambaye yupo tayar kuhungana nam kwa kipindi hik hapa jijin ambaye yupo tayar an PM bac.
Uoga lazima mama, siunajua hakuna duka la viungo? Basi usiondoke naja bibie na hao dog watulize wanaweza ambulia chochote.
Haya wapo wamepoz wanancheki boss wao
Naja mbio mbio my sweet heart, my chocklet, my honey etc. etc.
Njoo ngaramtoni tuchanje mirungi mkuu au vp arifu...
Dadekiiii I miss Arusha ,home sweet home.
Ipo siku nyumbani nitarejea.
Hahaha duuh leoleo majina yote yangu hayo
Ndo tatizo la warembo wa siku hizi. Roho ikikudondokea ghafla unaanza kulalamika, tufanye nini jamani ili mridhike.....! Mi ndo nshajilipua hapo.
Kwani tatizo liko wapi bibie?
chalii yangu huko mbali,aje hapa kona green village tumezindua juzi,tukitoka hapo tunashuka sejeseje chizika bar...kabla ujampa veve mpeleke pale corner kwenye kicarwash achome kwanza alaf aende beach kilima punda