Wana JF wenzangu nipo Arusha

Wana JF wenzangu nipo Arusha

naan ngik-kundie

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
1,766
Reaction score
2,435
Jaman wana JF natafuta mwenyeji wangu kutoka kwenye kundi, nipo Arusha namwitaji rafiki yeyote ambaye yupo tayari kuuungana nami kwa kipindi hiki hapa jijini ambaye yupo tayari an PM basi
 
Ulivyoandika tu.......kuhungana.......nimepanda zangu noah naelekea Namanga saa hizi kula bata pale Sarafina........

Mkuu mimi nipo Riverside pande za Kenya!!!! Hapo Sarafina nitakuja baadae sana..
 
jaman wana jf natafta mwenyej wangu kutoka kwenye kundi, nipo arusha namwitaj rafk yeyote ambaye yupo tayar kuhungana nam kwa kipindi hik hapa jijin ambaye yupo tayar an PM bac.

Upo wapi..?

Anyway jinsia yako twafwadhali ili ushirikiano uongezeke...
 
jaman wana jf natafta mwenyej wangu kutoka kwenye kundi, nipo arusha namwitaj rafk yeyote ambaye yupo tayar kuhungana nam kwa kipindi hik hapa jijin ambaye yupo tayar an PM bac.

acha mbwembwe ww.... Unataka uwape mzigo watu ??
Njoo npo njiro ila kwa mda huu natoka zangu sanawari baadae napitia shivaz halafu baadae ndio naenda njiro.......
Umejipanga namna ya ulalaji?
 
Naelekea Milestone kupata kitu roho inapenda
 
Ni kama mtu mwenye majonzi, kwema lakini?
 
acha mbwembwe ww.... Unataka uwape mzigo watu ??
Njoo npo njiro ila kwa mda huu natoka zangu sanawari baadae napitia shivaz halafu baadae ndio naenda njiro.......
Umejipanga namna ya ulalaji?

Mkuu shivaz unakwenda kufanya nini? Hakuna sehem ninayoiogopa kama shivaz.
 
jaman wana jf natafta mwenyej wangu kutoka kwenye kundi, nipo arusha namwitaj rafk yeyote ambaye yupo tayar kuhungana nam kwa kipindi hik hapa jijin ambaye yupo tayar an PM bac.

Mkuu Arusha kubwa, uko pande zipi? Nipo njiani nikitokea K"ndolu naelekea Njiro, kama uko city centre, sema pande zipi nikupitie mara moja.
 
Mkuu Arusha kubwa, uko pande zipi? Nipo njiani nikitokea K"ndolu naelekea Njiro, kama uko city centre, sema pande zipi nikupitie mara moja.

basi pitia hapa keepleft ya mkijenge na njiro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom