Mimi sio mtoto mkuu, nielekeze njia ya kufika hukoYap mkuu watoto kama wewe marufuku kule ni nyumbani kwa shetani
Mpaka uongozi?Ukileta mada za kulana mgongo humu Asilimia kubwa ya wana JF watakuponda na kila mtu atasema ni dhambi Hawezi fanya hicho kitendo,
Lakini ukiingia kule jukwaa la wakubwa video karibia zote ni za mademu wanaliwa mgongo,
Yaani kule kuna viumbe wanakula biliani kama hawana Akili nzuri, wanafukunyua kila upande lakini wakija huku majukwaa mengine wanajifanya watakatifu kinoma,
Hata sisi ni viongozi wakubwa na vigogo mkuu.Jukwaa la viongoz wakubwa na vigogo nyie mnataka mkafanye nini.
Ban kwa kusema ukweli?
Unataka aseme kuna maombi ya kutoa mapepo?