Wana JF wengi ni maskini, wengi hutumia Tecno

Ukumbuke pia kuna watu wanatumia Samsung, Iphone n.k lakini hawana lolote la maana.
Na usishangae kukuta mtu anatumia samsung au iphone lakini anabangaiza ameajiriwa kwa mtu anayetumia Tecno!.
Simu pekee haitoshi kumaanisha kuwa mtu huyu ni tajiri au masikini.
 
Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.

Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump
 
Mtoto Wapi Member Kindaki Ndaki Toka Enzi Ya
Sodoma na Gomorrah Huyu

Anajitoa tu Ufahamu
Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.

Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha muhimu mawasiliano, maisha ni kuchagua aidha kuwekeza kwenye vitu vya maana ama kuwekeza kwenye vitu visivyo maana. Tajiri ni yule anayewekeza kwenye vitu vinavyoongezeka thamani kila baada ya muda fulani.
Haya sijui maiphone,masamsung, matecno ni makopo tu.
 
Back
Top Bottom