Ukitumia Tecno ni masikini?... Mbona inatangazwa na man city... Au mashabiki wa city wanaotumia nao ni masikini?
define simu za maana kwanzaMungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Nimefanya utafiti humu member wengi ni maskini na wanatumia Tecno.
Mungu awatie nguvu walau mwaka huu watumie simu za maana.
Binafsi natumia tecno na si masikini ila tu sijawahi kuzinguka na simu. Simu mie utumia kupigia na WhatsApp na msg kwenye internet issue natumia Ipad Air 2 na JF mara nyingi natumia Laptop HP Pavilion core i7 8th Gen. Mtoto wangu yeye mali anayojivunia ni iPhone x ambayo nilimpa baada ya kununulia na mradi mmoja nilikuwa nimewin.
Mtoa mada wewe bado ni mtoto kwa hiyo unajua kitu cha thamani katika Maisha ni simu ya gharama. Haiko hivyo sisi wengine tulishavuka huko. Bei ya iPhone X ni nusu ya ada ya mtoto wangu wa primary mmoja. Priority kwangu sio simu tena ni vitu vingine vikubwa vyenye kuzalisha. Hayo masimu tunahonga vitoto vya chou tunavikojolea tunavidump
Ninacho Amini Mimi Huu Uzi Umeandikwa Kuwatoa Watu Mapovu
Hasa Watumia Tecno Kweli
Niwaombe tu Muwe Wavumilivu
Huwenda Huyu Bwana Kuanzia Trh 19 Saasita Usiku Ndio Mwisho mwisho Wake wakuwa Hewani
So Kaamua Kuchafua Hali Yahewa Na Uzi huu Wamwisho
Sent using Jamii Forums mobile app