Wana JF,
Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.
Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.
Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.
Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.
Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.
Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.
Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.
Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.
Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.
Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.
Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.
Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.
Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.
Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.