Wana Jf Tuzipate Forms Za Mafisadi Toka Tume Ya Maadili

Mtanzania

JF-Expert Member
May 4, 2006
4,816
678
Wana JF,

Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.

Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.

Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.

Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.

Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.

Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.
 
sikutegemea kama hawa waficha mafisadi wakubali kuzitoa form hizo.
ila ilikuwa move nzuri kwa upinzani kwenda kudai ili tu wapate wakatae tujue kwa uwazi msimamo wao.
kupatikana kwa form hizo ni ngumu, ila wanaweza kushinikizwa kufanya hivyo kwa maandamano na kupigiwa kelele kila kona.
tukianza na bungeni, kwenye vyombo vya habari na kwa wananchi mmoja mmoja kulalamika
 
Wana JF,

Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.

Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.

Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.

Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.

Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.

Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.

Mkuu wazo lako limenisismua sana, umeongea jambo la muhimu sana, wana JF kama tupata nyaraka nyingine muhimu sidhani kama hii itatushinda, tuingie kazini mwenye uwezo atusaidie, Invisible fanya kweli
 
Wana JF,

..........

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.

Na wala si fisadi bali ni LIJIFISADI la nguvu. Haiwezekani watu wake wakafisadi yeye akatulia.
Ni jambo jema sana kuzipata hizo form na ndo zitakazotupa mwanga wa jinsi gani mgonjwa huyu "TANZANIA" ni mahututi. Hima tuliokoe taifa letu tukufu.
 
Hakuna fomu yeyote!!...hakuna kitu kama hicho..labda waziandike upya!!

Kama hela...kama Mali zina kufanya uwe Mpumbavu basi utakua mpumbavu hata kwenye mambo mengine!!

hiyo Sheria iliwekwa na wajinga!!CCM...na hivyo vyama vingine hakuna kitu...mavi matupu!!
 
Hakuna fomu yeyote!!...hakuna kitu kama hicho..labda waziandike upya!!

Kama hela...kama Mali zina kufanya uwe Mpumbavu basi utakua mpumbavu hata kwenye mambo mengine!!

hiyo Sheria iliwekwa na wajinga!!CCM...na hivyo vyama vingine hakuna kitu...mavi matupu!!

Gigo,

Ndio maana ni muhimu kuzipata hizo forms maana tunajua wamedanganya.

Kama mtu ana mali na hajaweka kwenye hizo forms ina maana ni mali za wizi.

Wananchi taratibu wataanza kuelewa kinachoendelea. Mtu uliye na mali halali, huwezi kuficha kuiandika unapotakiwa na sheria.
 
Hakuna fomu yeyote!!...hakuna kitu kama hicho..labda waziandike upya!!

Kama hela...kama Mali zina kufanya uwe Mpumbavu basi utakua mpumbavu hata kwenye mambo mengine!!

hiyo Sheria iliwekwa na wajinga!!CCM...na hivyo vyama vingine hakuna kitu...mavi matupu!!

NA HATA KAMA HAKUNA FORMS TUNATAKA HABARI YA UHAKIKA KABISA TOKA NDANI KUWA HAKUNA FORMS ILI TUJUE MOJA NA NI WAPI PAKUANZIA ILI WATAJE NA KIELEWEKE
 
Swali ni kwanini wanaficha, majibu yameanza kujulikana, sasa zikitolewa hizo nyaraka wengi wataumbuka!
 
Wana JF,

Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.

Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.

Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.

Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.

Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.

Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.
Wazo ni zuri sana,ila Sheria ya Maadili ya uongozi wa umma ni ngumu sana,na sidhani kama ni rahisi kuzipata,na wakati mwingine huwa nafikiria kama sheria iko hivi ni bora hapa hii tume ifutwe.
 
Mimi nina wasiwasi kwamba tume ya maadili inaweza kubadilisha fomu za mafisadi na kuongeza mali ambazo tunazilalamikia kama ilivyokuwa faili la richmond pale BRELA. Mhh! Ila nimefurahi move ya wapinzani jana!
 
Mtakuta kwenye form zao wameandika ana Ngombe watatu wa maziwa kuku 50 wa mayai gari la ubunge lina mkopo nyumba aliyeuziwa na serikali!
 
Wazo ni zuri sana,ila Sheria ya Maadili ya uongozi wa umma ni ngumu sana,na sidhani kama ni rahisi kuzipata,na wakati mwingine huwa nafikiria kama sheria iko hivi ni bora hapa hii tume ifutwe.

Kuna haja ya kuomba hii tume ifutwe. Haina maana zaidi ya kula pesa. Ni wangapi wamefikishwa kwenye tume hii?

Imekaa mno kisiasa inaonekana kuwa kichaka cha kulindia maovu.
 
Mtanzania Mkapa alipoingia madarakani alitangaza "mali zake"....na aliahidi kufanya hvyo siku siku atakapoondoka madarakani.........mpaka leo sijawahi kusikia wapi alitangaza mali zake baada ya kumaliza kipindi chake.......
 
Haiwezekani hao hao mafisadi wa sasa ambao walikuwa wabunge wa wakati huo wajitungie sheria ya kuwabana,halafu iwe valid mpaka leo. Sheria hii ipitiwe tena inaonekana ina mapungufu mengi kama alivyokiri JK
 
Wazo ni zuri sana,ila Sheria ya Maadili ya uongozi wa umma ni ngumu sana,na sidhani kama ni rahisi kuzipata,na wakati mwingine huwa nafikiria kama sheria iko hivi ni bora hapa hii tume ifutwe.

Kwani zinaenda kuombwa au zichukuliwe kimtindo?
 
Wana JF,

Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.

Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.

Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.

Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.

Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.

Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.

Hii ni next assignment ya JF.
Wao wanakozificha huko ndiko wengine tunanawa nyuso.
 
Wana JF,

Tume ya maadili imekataa kutoa forms za maadili za viongozi mbalimbali ambao wanatuhumiwa kwa ufisadi nchini.

Mimi nashauri JF tuingie kazini na kuzitafuta hizo forms hata kama itakuwa na maana kuzinunua.

Hizi sheria wanazotunga ili kuwakingia kifua wasiumbuke, njia ya kuziua ni kutafuta njia ya kuzikiuka.

Mtu kama anaandika uwongo akijua hautajulikana basi tutumie JF kuwaumbua.

Ninaamini inawezekana kabisa kuzipata hizo forms hata kama zinalindwa na RO.

Wazee wa kazi hima hima tuelekee kazini.

Ningetaka kujua fisadi Mkapa aliandika anamiliki nini.

Naam zikiwekwa hapa ukumbini itasaidia kupambana na hatimaye kuishinikiza ili hii sheria ya kipumbavu ambayo inawalinda mafisadi iondolewe.
 
Back
Top Bottom