Nchi yoyote isiyo endeleza secta ya viwanda,hakika itakuwa Masikini na Ombaomba wa Kutupwa.
Tujulishane Viwanda vilivyo uliwa na Serikali ya CCM tangu uhuru.
Nawasilisha...
1.MAGUNIA -Moshi, 2. GENERAL TYRE -Arusha 3.....Mkuu ilivikuta vingapi na kuviua? Labda ungesema tujulishane viwanda vilivyoanzishwa na kisha kuuliwa na Serikali ya CCM tangu Uhuru.
1.MAGUNIA -Moshi, 2. GENERAL TYRE -Arusha 3.....
zzk-mby
swala
nyumbu
mbeya textile
Nachojua
Mwatex kiwanda cha nguo cha Mwanza kilikuwa kinaajiri wafanyakazi zaidi
ya 3,000 that was 1980s
Dowico, Kaudo nk