king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,148
Habarini wana jf ,
Ninamdogo wangu alimaliza o level miaka mi nne iliopita na hakufaulu kutokana na sababu mbili;
1. Yeye hakua na juhudi na hakua anajua anasoma ili iweke
2. Sababu za kifamilia ziliongeza changamoto kutohudhulia shule kwa muda mrefu , jana amenieleza mwenyewe kuwa ana nia ya kurudi shule na anajua ni wapi kwa upande wake alikosea anataka kurudi shule lakini kipato chetu hakiruhusu kumpeleka hata kwa mwl ampigishe pindi NAULIZA KAMA KUNA VIPINDI VYA VIDEO(CD) VYA WALIM WA KI TZ AMBAVYO NAWEZA PATA ILI AWE ANASOMA TARATIBU ILI TUSIPOTEZE MUDA mpaka tutakapo pata hela ya kulipia kituo nk, nawasilisha.
Ninamdogo wangu alimaliza o level miaka mi nne iliopita na hakufaulu kutokana na sababu mbili;
1. Yeye hakua na juhudi na hakua anajua anasoma ili iweke
2. Sababu za kifamilia ziliongeza changamoto kutohudhulia shule kwa muda mrefu , jana amenieleza mwenyewe kuwa ana nia ya kurudi shule na anajua ni wapi kwa upande wake alikosea anataka kurudi shule lakini kipato chetu hakiruhusu kumpeleka hata kwa mwl ampigishe pindi NAULIZA KAMA KUNA VIPINDI VYA VIDEO(CD) VYA WALIM WA KI TZ AMBAVYO NAWEZA PATA ILI AWE ANASOMA TARATIBU ILI TUSIPOTEZE MUDA mpaka tutakapo pata hela ya kulipia kituo nk, nawasilisha.