Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
- Thread starter
- #281
hahahahaaaaaaaaaaa... huyo mcharuko aisee, ni kibwengo tu, yeye akiona ndefu nyeuoe anachachawa, lakini eti bado anakonsalt
kweli kichaa kina sura kadhaa, ila tumombeer mleta mada
Kaka umetumia maneno makali sana, anyway ni kweli huyo mdada akiona handsam white huwa anachachawa ila huyu sio handsam wala nini yaani ni wakawaida sana lakini ndio anamfeel mpaka anajishangaa