wana Jf mnayo taarifa hii?

wana Jf mnayo taarifa hii?

mtamanyali

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
1,161
Reaction score
616
wanasiana wapatao 40 walikua wanakwenda kijijini kufanya kampeni bahati mbaya gari lao lili pata ajali mbaya njiani karibu na shamba la mkulima mmoja. mkulima kuona hivyo alichimba kaburi la pamoja na kuwazika wote, polisi walivyofika wakamkuta yule mkulima
wakamuuliza waliopata ajali wako wapi akajibu nimewazika wote,polisi akamuuliza unauhakika wote wamekufa? mkulima akajibu, aahhh!! kuna baadhi walikuwa wakilalamika lakini siunajua wanasiasa walivyokuwa waongo nilijua wananidanganya mimi nikazika wote
!
 
hahaha kwel kijan hao...................
 
Teheteheeeeee. Kweli kabisa. Alistahili kuwazika kabisa.
 
Hahahahahaaaaaa ngoja tumchagulie wanasiasa tunaotaka wazikwe then hata km hawatapata ajali tuwazike hivyohivyo
 
Japo ni marudio,

Any way kwa kuwasijaisoma siku nyingi nimerudia kuichekea............
 
Hawa jamaa walivyo waongo hata familia zao huwapa ahadi za uongo. Yaani wao wamesomea uongo.
 
Duuh jamaa wapunguze siasa maana kwa mtindo huu watazikwa wazima kweli.. So funy...
 
Hii ndo maana halisi ya wanasiasa wa nnji yetu.
 
Hahahahahahaha! Nicheke ninenepe nikonde nina mume!!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom