Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Heshima kwenu wakuu! wazo ni kwamba tukiwa kama wana jf tumekuwa tukipeana habari mbalimbali na kuelimishana mambo mbalimbali sasa mnaonaje tutengewe na uongozi wa jf angalau siku moja kwa mwaka ya kuonana na kufahamiana live by means kwa walio dsm,mbeya,mwanza,kenya. nk hii mnaionaje wakuu?