Wana JF Iringa mjini gesti gani nzuri kufikia?

Wana JF Iringa mjini gesti gani nzuri kufikia?

Karibu UDZUNGWA LODGE KIHESA. Rum 15000/. Chumba self,.yan ful ..utaenjoy
 
Nenda KUNDIKILI GUEST HOUSE. Bei poa elfu 5000/= lakini itabidi uwavumilie kunguni na viroboto.

kuna gesti bubu moja maarufu sana hapo stendi. short time buku. kulala buku tatu. tatizo shuka zinakua zimetumiwa mchana kutwa na madereva wa taxi na mautingo kwa shot time.
 
ukifika IPOGOLO ulizia CITY LODGE kwa bei hiyo utafurahia! pako vzr au km vp ulizia na 1 inaitwa SICALO buku 3 tu! fuly Burdan ndg!
 
Jaman ile pale kwa chini b4 hujakata kona kuingia stendi kuu ya mabasi, nimeisahau jina, kigorofa fulan cheupe...ni hotel nzuri kaka, nafasi ya kutosha chumban, kitanda sita kwa sita, vyoo saaafi, chanel lukuki, lift inakusindikiza kukuokolea muda! Ila ni 55,000 kwa chumba, hiyo ya 15 haina haja ya kuuliza maana mh majanga best.
 
mkuu karibu me nipo huku kwa wiki sasa nipm nikuelekeze, achanna na wanaokudhihaki
 
Jaman ile pale kwa chini b4 hujakata kona kuingia stendi kuu ya mabasi, nimeisahau jina, kigorofa fulan cheupe...ni hotel nzuri kaka, nafasi ya kutosha chumban, kitanda sita kwa sita, vyoo saaafi, chanel lukuki, lift inakusindikiza kukuokolea muda! Ila ni 55,000 kwa chumba, hiyo ya 15 haina haja ya kuuliza maana mh majanga best.

I think you mean Kalenga Hotel right?

Is is awesome, and you will never regreat your money. Price range from 35,000 to 75,000Tsh I think.
 
Natarajia wiki hii kutembelea iringa nisaidien ,wapi na eneo gani kuna guest nzuri na pia eneo gan zuri kwa mapumuziko wikiend .Tafadhali chumba kisizidi 15000.

Chumba chini ya 15000 utapata Ipogolo au Makanyagio lakini jiandae kukesha kwa makelele ya walevi maana guest house za sh. 15000 zimezungukwa na vilabu vya komono , wanzuki, kangara na ulanzi.
 
Natarajia wiki hii kutembelea iringa nisaidien ,wapi na eneo gani kuna guest nzuri na pia eneo gan zuri kwa mapumuziko wikiend .Tafadhali chumba kisizidi 15000.[/QUO
UKIFIKA ULIZIA ......LUTHERAN CENTRE.....
 
Chumba kwa sh. 15,000/= utapata Ipogolo, au makanyagio ila ujiandae kukesha maana guest za sh. 15,000/= zimezungukwa na vilabu vya pombe za kienyeji wanamo uza komoni, wanzuki kangara na ulanzi.
 
Back
Top Bottom