Natumai wana JF ni wazima na mnaendelea na mchakato wa kuendeleza maisha,Nimetamani sana kuwa pamoja nanyi katika jukwaa hili na ndio sababu nabisha,na ni imani yangu kuwa ntakaribishwa kwa sababu kila abishae hufunguliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.