Wana JF, Hivi kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyekwisha zaa

To be honest! Sikushauri kabisaa naelewa maana hayo ni maisha kiufupi kwa sasa mapenzi yenu ni ya tamaa tu hayo ni matatizo unataka kuyaingia jiulize swali rahisi tu kwa nini hakuolewa na aliye mzaalia! mmmh sio swala la kulipa uzito mwepesi vuta subira tafuta mwingine achana na hayo matatizo! hebu fikiri ukizaa na mwanamke alafu akaishi na mwanamme mwingine Mhhhhhhhhhh achaaaaa achaaaaaaaaaa
Ni mjane??????? au unafuata unafuu wewe???

Mkuu KT, Rejea post yangu ya nyuma ,aliolewa akaachika, mimi binafsi mzazi nileyezaa naye,mahusiano yamekufa kabisa.
 
Mkuu KT, Rejea post yangu ya nyuma ,aliolewa akaachika, mimi binafsi mzazi nileyezaa naye,mahusiano yamekufa kabisa.

Kwa maelezo haya uliyotoa bwana Kifaru huyo mwanamke anakufaa sababu mnaendana hadi historia zenu ziko sawa, oa huyo ndiye anayekufaa kama mnapendana.
 

Duh ana watoto wawili.....! Mjomba unatafuta nini hapo...!? Mkuu usione tunakuwa dynamic kwa vile information unaleta in pockets, not continuous (nimekumbuka nuclear physics kidogo).

Kwa hesabu za haraka haraka inawezekana umri wenu ni mkubwa kiaina.......hivyo mambo yako level. Mi nadhani tunajifunza kutokana na waliotutangulia, mbona mkuu wa Mtera alivuta kitu Same chenye watoto kibao. Lengo lao sio kutafuta watoto bali juishi maisha matakatifu ya ndoa. Hivyo hata wewe kama umri umesogea kidogo na lengo sio kutafuta watoto thats fine....!

Tupo pamoja mkuu
 
Kuona mwanamke ambaye amesha zaa kuna hasara zake, cha msingi ni kujua kwa nini hakuolewa na huyo/hao waliomzalisha. Kama utaelewa atakacho kwambia hapo kutakuwa hakuna tatizo. Lakini mpaka kuleta hii mada ndani ya JF inaonekana bado hamja lizungumza hilo.
 
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao

Lakini Uwe tayari mkeo kwenda kwa mume mwenza wako 'kudiscuss' kuhusu maendeleo ya mtoto wao now and then!!!
 
Lakini Uwe tayari mkeo kwenda kwa mume mwenza wako 'kudiscuss' kuhusu maendeleo ya mtoto wao now and then!!!

Hilo halikwepeki, je hakuna njia nzuri ambayo watakutana waitumie ili wasiweze kupata vishawishi?, nahitaji kum-controll ktk njia zote
 
Mkuu taratibu...............inawezekana alijifungua kwa operesheni kubwa (ya kutoboa tumbo, sio njia ya asili)



hakunaga ukweli juu ya hilo, mbona mie nimezaa kwa njia ya kawaida na hiyo hali ya kulegea cjaiona? kuna mazoezi ya kurudisha hiyo misuli jamani nyie wababa, ondoeni hiyo dhana.
 
hakunaga ukweli juu ya hilo, mbona mie nimezaa kwa njia ya kawaida na hiyo hali ya kulegea cjaiona? kuna mazoezi ya kurudisha hiyo misuli jamani nyie wababa, ondoeni hiyo dhana.

Nyamayao nakubaliana na wewe kuwa hayo mazoezi yapo na ile kitu inarudia hali yake ya kawaida..! Lakini pia sipingani sana na Julius (Nyani Ngabu) kuwa baadhi yao ile kitu inalegea kinoma.....inakosa ladha....inakuwa baridiiiiiii.....!
 
Nyamayao nakubaliana na wewe kuwa hayo mazoezi yapo na ile kitu inarudia hali yake ya kawaida..! Lakini pia sipingani sana na Julius (Nyani Ngabu) kuwa baadhi yao ile kitu inalegea kinoma.....inakosa ladha....inakuwa baridiiiiiii.....!

KNK, Hiyo kitu inatokana na mwanamke mwenyewe anavyojiweka, hata hao ambao ni wasichana fresh wamo kwenye hilo kundi la kulegalega, hiyo ni elimu ya kujielewa mwili wako na kuufanyia ukarabati mara kwa mara,
 
KNK, Hiyo kitu inatokana na mwanamke mwenyewe anavyojiweka, hata hao ambao ni wasichana fresh wamo kwenye hilo kundi la kulegalega, hiyo ni elimu ya kujielewa mwili wako na kuufanyia ukarabati mara kwa mara,

Yap i agree with you.......ndo maana hata wanawake wengine akishazaa anakuwa na kitambi...!
 
Baba wa huyo mtoto bado hajaachana na huyo binti, atakwambia kuwa wameachana lakini wakikutana we haupo wanakumbushia enzi hizo na matokeo yake wanaendelea kuongeza watoto kwenye kaya yako,

hachana naye tafuta mwingine

mkuu usihukumu watu wote kwa huo mtazamo wako! binafsi mimi kuna binti tulijaaliwa kupata mtoto nae ila hatukuoana, mtoto akiwa na miaka minne nilioa na tulikubaliana nae akanipatia mtoto bila ugomvi, mahusiano yetu kingono yaliishia pale na yeye kaolewa na ana watoto wawili kwa mumewe hadi sasa, tunasalimiana na kujuliana hali pale inapobidi lakini si zaidi ya hapo, namshukuru mumewe ni mwelewa kwani tunafahamiana vizuri tuu na nadhani anamwamini mkewe na mimi pia, ila kwa upande wangu kidogo mamsap huwa hana raha nikiwasiliana na mzazi mwenzangu huyo..........
 
Back
Top Bottom