Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Wakuu naomba nifahamisheni mazuri na mabaya ya kuoa mwanamke aliyezaa, kuna mwanamke naona tunaendana kila kitu sema yeye tayari ana uzao
Mkuu kama ungeuliza kuoa mwanamke aliyekwisha olewa hapo ningekuwa na ushauri negative...! Unajua ndoa ikiwa mpya ile kitu mtu anaitimba kishenzi.....ingekuwa Big G ingekuwa hoi tepe tepe...!