Ndio sababu ile ambulance lazima iwe karibu.
Umeona eeh!!!! Ile ngoma muda wowote inaweza kubuma.
diwani afadhali sema mjumbe wa mtaaThubutu yako, RA hakamatiki na JK wala CCM!
Wananchi wenywewe ndio tumebaki kumshughulikia RA, utendaji wa JK wa sasa hivi ni sawa sawa na Diwani wa kata!
u wanguUkikesha Bagamoyo unategemea nini?