Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,917
- 6,007
Aiseee!Waswahili hamueleweki.
Si huwa mnasema kufeli shule sio kufeli maisha.
Sasa kama alipata f f f f na kwa sasa amekuzidi wewe kwa almost kila kitu pamoja na hizo A zako. Nani anakuwa amefaulu kimaisha ?