Maji, umeme vyoteHivi huduma za kijamii zikoje huko...?
Ha ha haMaendeleo ya msitu wa ulimboka ukoje huko?
Nakaa mtaa wa MOGABIRIMkuu nitafika hapo soon vipi unakaa mtaa wa abdalah zombi au pande za ulimboka street?
Mabwepande iko mkoa gani mkuu?Wana bodi, hususan tunaokaa huku mabwepande Karibuni tujadiliane Kuhusu maendeleo ya mji wetu huu ambao unakuwa vizuri tu, tukiangalia Na mwaka ulioanzishwa mji huu
Karibuni tujadili, changamoto, mafanikio nk
SimiyuMabwepande iko mkoa gani mkuu?
Iko KINONDONIMabwepande iko mkoa gani mkuu?
OK nilidhani Lindi!Iko KINONDONI
Itakuwa burigi chato mkuu !Mabwepande iko mkoa gani mkuu?
Chato ni mkoa Bwashee?!!Itakuwa burigi chato mkuu !
Ushawahi pita njia ya kutokea Mbopo? Ni karibu kuliko ile ya kuingilia Bunju hasa kama unaenda maeneo ya Mbezi au Ubungo.