Wengine tupo dar. kikazi
Wengine tupo bugarikaWana Jf Mwanza tukutane siku ya Uhuru tarehe 9.Eneo lastand national nyakato kufanya usafi katika dampoo lilopo Eneo ilo tukiwa na Vifaa vyetu..Tuunge juhudi za Rais Wetu kwa vitendo..PAMOJA TUNAWEZA
Njooni huku Igoma mnada wa Mbuzi hapa kijereshi
I see hapo kijereshi pachafu sana
Tukikutana tendelee kuitana kwa hizi ID fake au?
Hata lije tinga tinga kuniburuta siendi kufanya usafi ng'oo..
Tukikutana tendelee kuitana kwa hizi ID fake au?
yani nitoke zangu capri point nije national dampo kufanya usafi!!! mi ntawasupport kucomment humu