Askofu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2009
- 1,664
- 86
Mambo Ya Kanumba
Steven Charles Kanumba is my name, i was born in a Christian family of 2 girls and i happen to be the last born and the only boy to Mr. & Mrs. Charles Meshark Kanumba.
Mi naona kizunguzungu hapa....!!! Steven Charles Kanumba Ali-close vipi?? au aliogopa kuuliza menu akaamua kusingizia closing? Halafu siku ile pale ilikuwa usiku saa moja ya CAT, (saa 2 ha huku EAT), sasa yeye alikuwa na mpango wa ku-open muda gani?? (Usiku wa manane)??
Jamani, lazima tukubali kuwa mtu anapokataa kukosolewa basi ana mtindio wa ubongo au amefilisika kimawazo!! Nobody is perfect, cha kufanya ni kukubali mabadiliko