Wana filamu kuandamana, kisa Kanumba ka-comediwa!

Sina nia ya kutetea kuchemsha kwake,,, ila langu ni kuwaasa wenzangu na mie,,, kama hakipandi sawasawa si ulonge kiswahili tu! Sio wote wanaojua kiinglishi na hata hao wanaojua hicho kilugha cha malkia huamua kukamua kilugha cha kwao. Kwani kwenye movie zote huwa wanabonga king'eng'e. Tusimwandame sana huyu bwa mdogo kwa kuchemsha ila ajipange kama anataka maujiko ya kuonekana anajua kiinglishi basi tuition zipo.

Kwa kitendo chao cha kutaka kuandamana huo ni ufinyu wa akili. Mtu/msanii yeyote aliyekomaa kisanii anatakiwa awe na upevu wa kuelewa na kukubaliana na matokeo yatokanayo na sanaa yake. Hivyo yambidi kujipanga ili kuepusha mazila zaidi mbeleni.

Msanii ni kioo cha jamii hivy kuanza kukurupuka na kutaka kuandamana ni kufilisika kiakili. Kifupi ni aibu kwa KANUMBA na watakaotaka kuandamana.

Ningekuwa mimi Kanumba ningekaa kimya na upepo ungepita kisha merikebu ingesonga mbele bila kukumbwa na dhoruba.

Nikiwa kama mtaalamu wa masuala la filamu, sijawahi kuona filamu inayotengenezwa kwa muda mfupi kiasi cha mwezi kila kitu kimekamilika. Ukiangalia sana hata maudhui ya movie hizo hayajulikani. Hata baadhi yake huwa zinaishia kwa mhusika mkuu kufa na huwa anafufukia kwenye movie nyingine.

Wasanii wajipange upya,,,, waache ubabaishaji.
 
Samahani mie nitapingana kidogo na wachangiaji hapo juu, Hvi ni Watanzania wangapi wanaweza kuongea sentensi 5 kwa kiingereza bila kuboronga?? Ni wachache ambao wamepata bahati ya kusoma shule za English Medium na wengine wengi ambao wazazi wao walikuwa na uwezo wa kuwapeleka ulaya wakasome. Sisi wengine tuliosoma shule zetu za kina Kanumba hatuwezi. Na hata ukienda kujiendeleza kusoma kiingereza kuflow inakuwa ni ngumu sana. Mie nafikiri badala ya kumcheka na kum-critisize labda tungetafuta namna ya kumshauri.

Kama mnaangalia Big Brother kuna Mshiriki wa kiume kutoka Msumbiji anaitwa Lionel hajui kabisa Kiingereza na anachapia ile mbaya, Tujiulize kitu kimoja kwani Kiingereza ni lugha yetu??? Watu mmeifanya issue sana, Na wala sio suala la shule kwani ni wangapi wamesoma mpaka Chuo Kikuu na Degree zao lakini hawawezi ku-flow kiingereza? Sio tu wasanii wenzake hata sisi tupo wengine wengi ambao hatukupendezewa na namna watu walivyoli-handle suala la Kanumba akiwa BBA

Tuache Kasumba ya kikoloni lugha yetu ni kiswahili na ndio 'Communication Language yetu Watanzania.

Mkubwa point noted. Ila Kanumba hakutaka kukubali kwamba kutokujua hiyo lugha ya malkia ni moja ya vitu vilivyosababisha ashindwa kufanya discussion za maana. yeye akabakia kuwa mtu wa kuulizwa maswali na kujibu au kubakia kucheka hata kama hakuna kichekesho. Anaporudi hapa anakana kabisa na kusema wote wanaosema hivyo walikuwa na wivu!!?

Kuhusu kusema kuna kasumba ya kikoloni napingana na wewe kwa sababu hii lugha kimataifa inatumika kama lugha ya biashara na hata hapa Tanzania lugha ya kibiashara ni kiinglish je ni kwa nini yeye atutie aibu?? Sisi sio kama watu wa msumbiji ambao lugha yao ni kireno, au wazaire -kifaransa!! Its just common sense.
 
huu ni utoto au kuonesha jinsi gani hawajakomaa kwenye fani yao.wanapenda kujiita macelebrity bila kujua advantages zake na disadvantages zake.kama hawataki kuigizwa au kushambuliwa na jamii basi hizo filamu zao wakimaliza kutengeneza waziangalia nyumbani kwao hili watu wasiwazungumzie.
 
.....wamewaigiza mawazili,wabunge,watu maarufu,mpaka Rais...

Kumuigiza kanumba ndo imekuwa nongwa?

Tunaliangalije ....

Kaka unakimbilia wapi? Tulia
Hata hivyo asante kwa hoja zako.
 
Samahani mie nitapingana kidogo na wachangiaji hapo juu, Hvi ni Watanzania wangapi wanaweza kuongea sentensi 5 kwa kiingereza bila kuboronga?? Ni wachache ambao wamepata bahati ya kusoma shule za English Medium na wengine wengi ambao wazazi wao walikuwa na uwezo wa kuwapeleka ulaya wakasome. Sisi wengine tuliosoma shule zetu za kina Kanumba hatuwezi. Na hata ukienda kujiendeleza kusoma kiingereza kuflow inakuwa ni ngumu sana. Mie nafikiri badala ya kumcheka na kum-critisize labda tungetafuta namna ya kumshauri.

Kama mnaangalia Big Brother kuna Mshiriki wa kiume kutoka Msumbiji anaitwa Lionel hajui kabisa Kiingereza na anachapia ile mbaya, Tujiulize kitu kimoja kwani Kiingereza ni lugha yetu??? Watu mmeifanya issue sana, Na wala sio suala la shule kwani ni wangapi wamesoma mpaka Chuo Kikuu na Degree zao lakini hawawezi ku-flow kiingereza? Sio tu wasanii wenzake hata sisi tupo wengine wengi ambao hatukupendezewa na namna watu walivyoli-handle suala la Kanumba akiwa BBA

Tuache Kasumba ya kikoloni lugha yetu ni kiswahili na ndio 'Communication Language yetu Watanzania.


Hilo halina ubishi,wengine ni maprof hapa bongo,wanatoa lecture vyuo vikuu,lakini kiingereza cha kubabaisha.Wanataniwa na wanafunzi wao,amabo pia ni wababaishaji wa lugha hiyo...hawaji juu...
Yeye kusemwa,ndo mpaka watu waandame?hawa si mabogaz km baadhi walivyowaita?
 
Kaka unakimbilia wapi? Tulia
Hata hivyo asante kwa hoja zako.

hapo ulimi ulikutana na utelezi.....hata hivyo kiswahili kigumu...km unatokea kanda ya ziwa hutashangaa hilo...
 
Nazani hawapaswi kuandamana, labda waandamane na kauli mbiu ya kwamba wanafilamu/wasanii wajiendeleze na kujua lugha za watu, kiswahili tu hakitoshi kupeleka ujumbe na ukaeleweka Nigeria, na kwingineko Duniani, Kingereza ndo lugha ya kibiashara kwa mataifa,

Ila wajifunze kwa mwenzao mwana ccm, mwenyekiti wa mkoa DSM, juzi nimesikia ameelekea darasani baada ya yeye kubainika kuwa mkichwa hana sifa sitahili, huyo yuko form one, Ray na Kanumba angalia walikotokea, ukiwasikiliza vizuri unaona kabisa wanahitaji elimu zaidi na hata hiyo ya kazi yao,

Ze commedy wamekuwa kama mbao za matangazo wanakupa kitu ambacho ukikubali unasonga mbele, japo nao wako vile vile, ila ukiguswa badilika yasike yakakukuta zaidi, tuko pamoja wana JF
 
Tatizo vijana wanavamia fani, waliona mzee Jongo (nadhani ni marehemu) na Nyakomba walifanikiwa. Mjue hao walikuwa na vipaji pamoja na kwamba hawakwenda mbali kielimu, na walibobea kwenye dhana ya Ki-Tanzania. Hivyo walikubalika na watakubalika kwa hilo.

Vijana wameona hii ndiyo njia ya mkato ya kuwa celebrity na kujipatia pesa kupitia usanii, wamevamia fani, wakataka wa-integrated na ung'eng'e ndani yake. Wakasahau kwamba fani waitakayo ina ushindani, ili waingie na kujulikana ulimwenguni basi ni lazima waushinde UMAIMUNAAAA.

Wasanii wanaotaka kuandamana, wamesahau kama zekomedi nao wanakula kwa ku-exaggerate makosa ya watu. wao wamefanikiwa hata kama hawakusoma, usanii wao ni usanii kwa ndani ya nchi, na wanafanikiwa kwa hilo kwa sababu sasa wamewapata wasanii wenzaoo:D tehe he he eet eh

Cha msingi tunawapenda wasanii wetu, tunawashauri msibweteke, pigana ukasomee lugha ambazo zitawafanya mkubalike Afrika ya mashariki na mbali.

Tafakalini.
 
Samahani mie nitapingana kidogo na wachangiaji hapo juu, Hvi ni Watanzania wangapi wanaweza kuongea sentensi 5 kwa kiingereza bila kuboronga?? Ni wachache ambao wamepata bahati ya kusoma shule za English Medium na wengine wengi ambao wazazi wao walikuwa na uwezo wa kuwapeleka ulaya wakasome. Sisi wengine tuliosoma shule zetu za kina Kanumba hatuwezi. Na hata ukienda kujiendeleza kusoma kiingereza kuflow inakuwa ni ngumu sana. Mie nafikiri badala ya kumcheka na kum-critisize labda tungetafuta namna ya kumshauri.

Kama mnaangalia Big Brother kuna Mshiriki wa kiume kutoka Msumbiji anaitwa Lionel hajui kabisa Kiingereza na anachapia ile mbaya, Tujiulize kitu kimoja kwani Kiingereza ni lugha yetu??? Watu mmeifanya issue sana, Na wala sio suala la shule kwani ni wangapi wamesoma mpaka Chuo Kikuu na Degree zao lakini hawawezi ku-flow kiingereza? Sio tu wasanii wenzake hata sisi tupo wengine wengi ambao hatukupendezewa na namna watu walivyoli-handle suala la Kanumba akiwa BBA

Tuache Kasumba ya kikoloni lugha yetu ni kiswahili na ndio 'Communication Language yetu Watanzania.


Ndo mana watu wanamshauri huyo Kanumba akapate kozi ya hiyo lugha ya kiingereza ukizingatia yeye ni msanii maarufu kuliko kuandamana wakati tatizo liko palepale. Pia wangapi wameigizwa na komedy,waliandamana??!..
Vinginevyo anajaza maji kwenye gunia huyo Kanumba aitwae msanii maarufu !..
 
Ndo mana watu wanamshauri huyo Kanumba akapate kozi ya hiyo lugha ya kiingereza ukizingatia yeye ni msanii maarufu kuliko kuandamana wakati tatizo liko palepale. Pia wangapi wameigizwa na komedy,waliandamana??!..
Vinginevyo anajaza maji kwenye gunia huyo Kanumba aitwae msanii maarufu !..

Belindaj....mimi nimeangalia juzi movie aliyo act huyo kanumba na Ray inaitwa Oprah....Nimeangalia juzi yaani hawa vijana wanahitaji kwenda kuchukua madarasa ya acting alafu huyo huyo Kanumba ni director na writer...yaani nilikuwa nacheka movie nzimaaaa.....mimi navyojua ukiwa una act unatakiwa kuwa natural yaani wao unaona kabisa wamekariri au sijui nisemeje alafu huyohuyo mtu wanamita ndiyo great actor wa kibongo mmmh we have long way to go.....Na pia nikaona hizo clips za yeye alivyokuwa BBA house alivyokuwa anampa yule kaka shati la pink hahahahahaha weeeeh!....Kweli kanumba anahitaji kwenda kuchukua english 101 itamsaidia kidogo kama anataka ku-act movie za kimataifa pia....na akina denzel washngton or brad pi,will smith just to name the few na movie za akiafrika na akina Van Vicker...
 
Kijana kanumba nakushauri nenda shule. Ili uweze kukua kifani ni lazima uwe na elimu ya kutosha na lugha ipande basi!!! English courses kibao!!!!
 
Belindaj....mimi nimeangalia juzi movie aliyo act huyo kanumba na Ray inaitwa Oprah....Nimeangalia juzi yaani hawa vijana wanahitaji kwenda kuchukua madarasa ya acting alafu huyo huyo Kanumba ni director na writer...yaani nilikuwa nacheka movie nzimaaaa.....mimi navyojua ukiwa una act unatakiwa kuwa natural yaani wao unaona kabisa wamekariri au sijui nisemeje alafu huyohuyo mtu wanamita ndiyo great actor wa kibongo mmmh we have long way to go.....Na pia nikaona hizo clips za yeye alivyokuwa BBA house alivyokuwa anampa yule kaka shati la pink hahahahahaha weeeeh!....Kweli kanumba anahitaji kwenda kuchukua english 101 itamsaidia kidogo kama anataka ku-act movie za kimataifa pia....na akina denzel washngton or brad pi,will smith just to name the few na movie za akiafrika na akina Van Vicker...

Kweli kabisa Kelly, ushauri huo wa kuimarisha ubora wa movie zao ni mzuri kuliko kukariri na kujiremba tu halafu Title za movie zao nyingi ni kiingereza. Kuwa muigizaji ni career nzuri, kwanini wasijiendeleze ktk chuo cha sanaa na kuigiza vizuri.

Naona wanawaza kupata pesa tu bila kujali waigizavyo, unaangalia movie yaani mtu kariri mbaya mpaka tuangaliao tunagutukia kabisa kirahisi.

Hiyo clip ya kutoa t-shirt mwenyewe niliona, no comment! mana bado nimeclose,ha ha ha
Idea ya english course ni nzuri kwake, kama hataki aache kuliko maandamano na kubishana na watu, ukiwa staa ndo hivyo tenaa!!
 
Kweli kabisa Kelly, ushauri huo wa kuimarisha ubora wa movie zao ni mzuri kuliko kukariri na kujiremba tu halafu Title za movie zao nyingi ni kiingereza. Kuwa muigizaji ni career nzuri, kwanini wasijiendeleze ktk chuo cha sanaa na kuigiza vizuri.

Naona wanawaza kupata pesa tu bila kujali waigizavyo, unaangalia movie yaani mtu kariri mbaya mpaka tuangaliao tunagutukia kabisa kirahisi.

Hiyo clip ya kutoa t-shirt mwenyewe niliona, no comment! mana bado nimeclose,ha ha ha
Idea ya english course ni nzuri kwake, kama hataki aache kuliko maandamano na kubishana na watu, ukiwa staa ndo hivyo tenaa!!

Belinda j....Ni kweli kabisa wale watu wao wanaangalia pesa badala ya kuangalia ubora wa filam....Umeiona hiyo movie yake nyingine ya Bongo to Lagos? hahaha yaani hiyo ndiyo utacheka kabisa.lakini ndiyo hivyo taratibu taratibu labda siku moja wata master.....na je hizi movie zao ni zinaangaliwa tanzania tuu au hata nje ya Tanzania?

Kama ndiyo maana nje naona wenzetu wa west africa watakuwa wanatucheka sana ingawaje na wao pia ukiangalia zile movie zao utaona kabisa nao kama wamekariri na pia wanaongea kama ngojera na makelele ni mengi sana sound inakuwa haijatuliya...miye nadhani manager wa Kanumba au mshauri wake inabidi amueleze kanumba ampe kitu na boksi maana saa nyingine sisi watanzania tunaoneana aibu unaongopa kumwambia mwenzio ukweli....



LOL!...Pink shirt!....
 
Belindaj....mimi nimeangalia juzi movie aliyo act huyo kanumba na Ray inaitwa Oprah....Nimeangalia juzi yaani hawa vijana wanahitaji kwenda kuchukua madarasa ya acting alafu huyo huyo Kanumba ni director na writer...yaani nilikuwa nacheka movie nzimaaaa.....mimi navyojua ukiwa una act unatakiwa kuwa natural yaani wao unaona kabisa wamekariri au sijui nisemeje alafu huyohuyo mtu wanamita ndiyo great actor wa kibongo mmmh we have long way to go.....Na pia nikaona hizo clips za yeye alivyokuwa BBA house alivyokuwa anampa yule kaka shati la pink hahahahahaha weeeeh!....Kweli kanumba anahitaji kwenda kuchukua english 101 itamsaidia kidogo kama anataka ku-act movie za kimataifa pia....na akina denzel washngton or brad pi,will smith just to name the few na movie za akiafrika na akina Van Vicker...

Tell him! Hivi bado upo bongo au ushasepa?
 
Tell him! Hivi bado upo bongo au ushasepa?

"Ushasepa"maana yake nini?....No nimesharudi tayari toka last week....hiyo inabidi mshauri wake au manager wake amwambie mtu mwingine ataona kama anamuwekea usiku au anamuonea wivu si unajua waswahili.
 
"Ushasepa"maana yake nini?....No nimesharudi tayari toka last week....hiyo inabidi mshauri wake au manager wake amwambie mtu mwingine ataona kama anamuwekea usiku au anamuonea wivu si unajua waswahili.

Katika zile anazoziita movie hiyo ya Oprah Ndio kali kuliko zote. Hayo ni maigizo tu, wanauza sura tu kwenye DVD, hamna lolote, Ray alitia aibu na kuiangusha movie ya Fake pastor kwa kushindwa hata mstari mmoja wa kiinglish. Yaani hawa wasanii wetu, Bora king majuto na mzee small walimua kuwa wao wanaigiza ujinga ili watu wacheke kwisheni!
 
Katika zile anazoziita movie hiyo ya Oprah Ndio kali kuliko zote. Hayo ni maigizo tu, wanauza sura tu kwenye DVD, hamna lolote, Ray alitia aibu na kuiangusha movie ya Fake pastor kwa kushindwa hata mstari mmoja wa kiinglish. Yaani hawa wasanii wetu, Bora king majuto na mzee small walimua kuwa wao wanaigiza ujinga ili watu wacheke kwisheni!

hahahaha umenikumbusha mbali sana kwa mzee Majuto jamani yule baba alikuwa ni mjinga sana uwiiii!....alafu yupo very natural wakati anaigiza compared to hawa wanaojiita Kanumba the great...alafu hiyo movie ya Oprah jamani yule Ray na ile vest yake ilikuwa ni fupi alafu anakitambi hadi niliona aibu mimi mwenyewe kama ndiyo Ray na yule demu aliye act kama Oprah alikuwa anazungusha macho tuu yaani hata sikujua alichokuwa anafanya ni nini...then kuna ile party Kanumba anampa maua Oprah siku ya borthday yake jamani eeh yaani Kanumba pale aliact kama mwanamke..ni mwanaume gani anaweka kidole mdomoni kama anaona aibu?
 
"Ushasepa"maana yake nini?....No nimesharudi tayari toka last week....hiyo inabidi mshauri wake au manager wake amwambie mtu mwingine ataona kama anamuwekea usiku au anamuonea wivu si unajua waswahili.

Uko sahihi kabisa. Ukichukulia mtu mwenyewe shule yake mgogoro ndio kabisa!!!! atakua mgumu kuelewa kama ushauri anaopewa ni kwaajili ya kuboresha kile anachokifanya.
 
Uko sahihi kabisa. Ukichukulia mtu mwenyewe shule yake mgogoro ndio kabisa!!!! atakua mgumu kuelewa kama ushauri anaopewa ni kwaajili ya kuboresha kile anachokifanya.

Mimi binamfsi napenda sana mtu kunipa ushauri maana siyo kila siku upo right...hata raisi pia ana mshauri...lakini kwa jinsi navyojua sisi watanzania hatupendi kukosolewa tunadhani tunajua kila kitu....i guess ndiyo maana hatuendelei bado yupo nyuma sana...don't you think?.
 
hawa si wana filamu bali ni wasanii kama wenyewe jana walivyojiita yani pale ndo imedhihirisha kwamba hawa wasanii ni bogus mana uamuzi wao wa kwenda kufanya mkutano kisa kumtetea kanumba umedhihirisha kuwa ni wapumbavu. Kanumba kachemka kweli kwani uongo? Hawa jamaa ni wapumbavu wa mwisho kabisa.. Eti ray nae anashabikia kwakusema anaenda yeye? Elimu yenyewe darasa la saba ukatutie aibu kule? Kanumba ni mtu wa sifa na hakuna mtu ambaye hajui kuwa kanumba ni mpenda majivuno sasa alivyoenda bba watu walikuwa wanasubiri wamwone kanumba the great lakni hayakuwa hayo badala yake tukaona kituko cha mwaka yani kanumba na wenzake wameonyesha jinsi gani elimu yao ndogo inavyo wapelekesha na ndio mana wanakosa dira. Kwanza bongo hakuna filamu haya ni maigizo tu sijaona muvi mimi ila nachoona ni kukopi muzi za kinaigeria na kuleta kwenye maigizo yetu lakni bongo hakuna muvi.. Eti kanumba ame act muvi 45 na 22 ame direct na nyingine zinakuja.. Jamani bruce lee mpaka anakufa hata muvi kumi hakufikisha,van damme mwenyewe hajafikisha muvi 20. Sasa hii bongo niaje tena yani kanumba ndani ya miaka 3 muvi 75? Afu tollywood ian maana gani kwa bongo? Mbona tunaiga sana? Mbona kenya wao hawajaita kellywood? Hivi wanajua maana yake kweli?

"mkuu, nakugagilia kabisaaa umelenga palepale, bongo hamna movie wako kwenye rieso tu.make wanatumia movie za nigeria kujifunza.zote walizoiigiza ni kopidi kutoka movie za nigeria.
watulie wajifunze kwanza alafu wakubali kukoslewa.wanaamdama wanaenda wapi sio wasanii nadhani wakachapwe viboko kidogo.
 
Back
Top Bottom