Shapu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2008
- 2,111
- 790
Wakuu Heshima Mbele,
Kuna kitu kimoja naona hakijawekwa bayana hapa kuhusu huyu Kanumba. Watu wengi wanashindwa tofautisha au changanua hii kitu. Kuna swala la LUGHA na swala la UMBUMBUMBU wa mtu mwenyewe. Umbumbumbu nikimaanisha lack of appropriate knowledge of things, exposure etc. Sasa jinsi nionavyo mimi mtu ambaye si MBUMBUMBU yaani mwenye uelewa wa mambo mbalimbali na ambaye yuko exposed vizuri hata kama hajui lugha vizuri, atabaki kuwa mtu mwenye mchango makini na wa kuonekana ktk jamii. Sasa kwenye issue ya Kanumba si LUGHA, ni uMBUMBUMBU and lack of exposure.
Mfano ni watu wangapi umekutana nao hawajui kiingereza (ie. wanaongea kwa kusua sua) lakini points wanazomwaga au the way wanavyo angalia vitu mwenyewe una-appreciate? Wapo wengi sana.
Vile vile kuna watu ambao wanakimombo kimetulia ajabu, wanaflow mpaka waweza sinzia lakini ukiangalia substance ya anachoongea waweza tapika. Uelewea wa mambo na mazingira fulani ni muhimu pia.
Nilichokiona kwa kanumba ni kwamba hayuko that exposed, hata kama lugha ina sua sua lakini kuna mambo ya msingi hayajui. Hata ukiangalia ile biography yake, hata angeiweka kwa kiswahili still ilikuwa na mapungufu mengi sana.
Sisemi kwamba lugha haichangii, la hasha, inachangia lakini kwa case ya Kanumba it is more of what he knows than the language itself.
Kuna kitu kimoja naona hakijawekwa bayana hapa kuhusu huyu Kanumba. Watu wengi wanashindwa tofautisha au changanua hii kitu. Kuna swala la LUGHA na swala la UMBUMBUMBU wa mtu mwenyewe. Umbumbumbu nikimaanisha lack of appropriate knowledge of things, exposure etc. Sasa jinsi nionavyo mimi mtu ambaye si MBUMBUMBU yaani mwenye uelewa wa mambo mbalimbali na ambaye yuko exposed vizuri hata kama hajui lugha vizuri, atabaki kuwa mtu mwenye mchango makini na wa kuonekana ktk jamii. Sasa kwenye issue ya Kanumba si LUGHA, ni uMBUMBUMBU and lack of exposure.
Mfano ni watu wangapi umekutana nao hawajui kiingereza (ie. wanaongea kwa kusua sua) lakini points wanazomwaga au the way wanavyo angalia vitu mwenyewe una-appreciate? Wapo wengi sana.
Vile vile kuna watu ambao wanakimombo kimetulia ajabu, wanaflow mpaka waweza sinzia lakini ukiangalia substance ya anachoongea waweza tapika. Uelewea wa mambo na mazingira fulani ni muhimu pia.
Nilichokiona kwa kanumba ni kwamba hayuko that exposed, hata kama lugha ina sua sua lakini kuna mambo ya msingi hayajui. Hata ukiangalia ile biography yake, hata angeiweka kwa kiswahili still ilikuwa na mapungufu mengi sana.
Sisemi kwamba lugha haichangii, la hasha, inachangia lakini kwa case ya Kanumba it is more of what he knows than the language itself.