Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Aisee,sanaaa ya bongo inaelekea wapi?
Mbona ugonvvi mwingine kati ya wasanii hauna maan?
Kama kawaida ya original comedy,wiki iliyopita walimuigiza kanumba akishindwa kuongea kimombo pale mjengoni south..yaani BBA revolution. Jana tukashuhudia wasanii kibao wa filamu nchini wakitaka kuandamana na wakijadili jinsi ya kuwaangamiza original comedy.... Hii ilikuwa kenye kipindi chabongo movies EATV jana usiku.
Hivi kweli hii ni sahihi wasanii kujadili jinsi ya kuwaangamiza wasanii wenzao?
Mtindo wa kuwaaigiza watu,original comedy hawajauanza leo wala jana.....wamewaigiza mawazili,wabunge,watu maarufu,mpaka Rais...
Kumuigiza kanumba ndo imekuwa nongwa?
Tunaliangalije hili bandugu....tuelekea pabaya.
Mbona ugonvvi mwingine kati ya wasanii hauna maan?
Kama kawaida ya original comedy,wiki iliyopita walimuigiza kanumba akishindwa kuongea kimombo pale mjengoni south..yaani BBA revolution. Jana tukashuhudia wasanii kibao wa filamu nchini wakitaka kuandamana na wakijadili jinsi ya kuwaangamiza original comedy.... Hii ilikuwa kenye kipindi chabongo movies EATV jana usiku.
Hivi kweli hii ni sahihi wasanii kujadili jinsi ya kuwaangamiza wasanii wenzao?
Mtindo wa kuwaaigiza watu,original comedy hawajauanza leo wala jana.....wamewaigiza mawazili,wabunge,watu maarufu,mpaka Rais...
Kumuigiza kanumba ndo imekuwa nongwa?
Tunaliangalije hili bandugu....tuelekea pabaya.