Wajumbe wa mkutano mkuu wa kata moja huko sengerema kwenye jimbo la aliyekuwa waziri wa nishati na madini,Ndg.Ngeleja, wamepigana ngumi kwa kile kilichodaiwa kuwa ni viongoz wa ccm kata hiyo kuchakachua majina ya wagombea.
Inadaiwa viongozi hao wa chama cha zamani waliondoa majina ya wagombea wengine bila sababu ya msingi.
Source > Radio SAUT FM,96.1 MHZ MWANZA.
Inadaiwa viongozi hao wa chama cha zamani waliondoa majina ya wagombea wengine bila sababu ya msingi.
Source > Radio SAUT FM,96.1 MHZ MWANZA.